Kwa hesabu za haraka kutoka 2008 mpaka sasa ni kama miaka 9, nikitoa miaka 3 ya ualimu inabaki 6. Miaka 6 tu mmeuaga umaskin na kuajiri watu 300, si mchezo sijui mna kiwanda
Kama ilikuwa siku ya hatari hapo condom ilikuwa inawahusu sio kumwaga nje. Lea mwanao huyo, kumbuka binadamu tunakadiria tu ila Mungu pekee ndo anajua lini mtoto atazaliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.