Search results

  1. D

    Kiwanja kinauzwa jijini Dodoma

    Mzalee, naomba maelekezo zaidi mimi dodoma siielewi vizuri. Ni umbali gani kutokea dom mjini? Na ni uelekeo wa barabara ipi?
  2. D

    Hakuna jambo baya kama baba kumtegemea mwanaye

    Mwenye sikio la kusikia na asikie maana watu wanadhani kuzaa ni investment.
  3. D

    Uhamiaji bado kuna tatizo kubwa sana

    Lakini kuna matangazo yamebandikwa kila mahali hapo uhamiaji ya kuwatahadharisha wateja kuepuka madalali. Sema watanzania wanapenda sana shortcut
  4. D

    Huyu housegirl wangu anayaweza mambo zaidi ya wife

    Huo ndo ujinga wa wanawake, ndoa changa na bila kids housegirl wa nini? Hana kazi huyo ndo maana mnapata muda mfyuuuu
  5. D

    Huyu housegirl wangu anayaweza mambo zaidi ya wife

    Alijifunzia kwa wanaume wenzio.
  6. D

    Nauza hisa zangu za Voda @ Tzs 800 per moja

    Mkutano mkuu ni ijumaa wewe mwanahisa.
  7. D

    Bado tuna nafasi ya kazi kwa Finance and Accounts Manager

    Ni janga hadi nimerudia mara mbili mbili kusoma. Duh!
  8. D

    Nilivyovuka vikwazo vya kidini kutetea penzi

    Kwa hesabu za haraka kutoka 2008 mpaka sasa ni kama miaka 9, nikitoa miaka 3 ya ualimu inabaki 6. Miaka 6 tu mmeuaga umaskin na kuajiri watu 300, si mchezo sijui mna kiwanda
  9. D

    Uhamiaji: Paspoti zinazotolewa siyo vitambulisho ndani ya nchi

    Labda wengi wao hawajawai kupotelewa na passport waone mziki wake kupata nyingine ndo maana wanaona kaongea ujinga.
  10. D

    Uhamiaji: Paspoti zinazotolewa siyo vitambulisho ndani ya nchi

    We tembea nayo tu hata mtaa wa kongo, si ya kwako? Ila siku ukipoteza ndo utajua anamaanisha nini.
  11. D

    Muda wa kunyonyesha kwa wafanyakazi (Sekta binafsi na watumishi wa Umma) waongezwa!

    Mkuu unaweza kunisaidia hicho kifungu cha marekebisho?
  12. D

    Mhagama: Waajiri wawe wamejiunga na Mfuko wa fidia kwa Watumishi lazima ifikapo tarehe 30.7.2017

    Ndio najua kusoma. Wewe pia unaweza kufungua website yao ukapata elimu zaidi ya kilichoandikwa hapa.
  13. D

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Ishu ya kumwaga nje haijawahi kumuacha mtu salama
  14. D

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Ni tarehw ya kuanza hedhi sio kumaliza mkuu Kwingine umepatia
  15. D

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Kama ilikuwa siku ya hatari hapo condom ilikuwa inawahusu sio kumwaga nje. Lea mwanao huyo, kumbuka binadamu tunakadiria tu ila Mungu pekee ndo anajua lini mtoto atazaliwa.
  16. D

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Kasema tarehe 24/11 ndo walisex sio kwamba ni tarehe ya mwisho ya mwanamke wake kuona siku zake. So calculation yako sio sahihi.
  17. D

    Kuuliza sio ujinga, madokta nisaidieni kujua hili!

    Ushauri huu ndo unakufaa sana
Back
Top Bottom