Habari za muda huu wakuu.....
Ipo hivi kuna dogo kamaliza form 4 last year alipata div 4 ya 26....
Sasa kaomba kozi vyuo vya serikali kachaguliwa asomee udaktari wa wanyama....
Bahati mbaya mi hiyo sector siifahamu vizuri so naomba mnijuze kama hiyo kozi inalipa? Demand yake kwenye soko la...
Habari za saa hii wakuu,
Leo nakuja tena kuomba ushauri kwenu, nikiwa na majonzi mwili mzima sio moyoni tu. Ni hivi nina mchumba ambaye nishamtolea barua na huu mwezi wa nane tulipanga tupeleke mahali. Sasa kilichotokea juzi usiku kuna sms iliingia kwenye simu yangu iliyoandikwa hivi:-...
Habari za saa hii wadau,
Hope mko poa na mishe zinasonga hata kama ni kiubishi...
Ni hivi;
Moja kati ya siku chache zilizopita niliamua kumpeleka mchumba wangu kwetu.Mimi najitegemea na ninaishi mbali kidogo na familia yetu kutokana na kazi.Baada ya kufika nae tulikaa pale tukapiga stori...
Habari za saa hii wananzengo...?
Kiufupi ni kwamba, miaka miwili nyuma kuna msichana mgeni nilimuona mtaani kwangu.Sasa baada ya kupeleleza nikaambiwa amekuja kumtembelea dada yake hapo mtaani, kwasababu aliyavuta macho yangu moyo nao ukataka kutoka kumfuata lakini bahati mbaya ukakwama kwenye...
Nyumba nyingine bwana kila ukizitimbelea fridge lina maji tu hakuna kinywaji kingine, sasa hilo fridge au sim-tanki? loh!! mniache sifugi samaki tumboni mie.
Habari za jioni wakuu?
Kwa uwezo wa MUNGU natumain nyote mu wazima. Mi ni mgeni humu kwa kuleta post ila ni mwenyeji sana wakusoma post za watu mbalimbali humu tangu enzi za mwalimu.
Sasa picha linakuja hivi mimi ni kijana wa kiume, naishi kwangu yaan nimejitegemea tayari.
Katika...
Habari zenu wananzengo?
Ni memba mpya hapa naitwa MAGAYE kitambo sana, nilikuwa nafatilia mijadala mbalimbali humu, ila sasa nimeona ni vyema nami nikajumuika ili nifaidi zaidi.
Natumaini upokeo wenu wa upendo kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.