Habari wana JF,
Naomba kujua kama kuna ukweli kuhusu jamii ya miti inayo pendelewa kupandwa kwa ajili ya kivuli ambayo matawi hukua kwa ngazi siifahamu jina ila naijua kwa jina maarufu mingazi. Kuna tetesi kuwa hii miti haifai kupandwa hasa maeneo ya nyumbani kwa sababu za kiimani, je wa kuu...
Habari za majukumu wana Jf ,nina laptop ambayo ina sehemu ya kuweka lain ya simu nimejaribu kuweka lakin sijaona iki fanya kazi. Naomba kujua kama inaweza kufanya kazi.
Ninauza fujitsu laptop AH531 Lifebook Windows 10
-Processor: Intel(R) Core(TM) i5-2410M CPU @ 2.30GHz
-RAM; 4.00GB
-Dsck; 500GB
-System type; 32-bit Operating System x64-based processor
Ipo katika hali nzuri pamoja na charger yake ,bei ni Tsh 650,000/=
una weza pia ku google kuangalia sifa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.