Mleta mada amesema Messi ni mzuri lakini Ronaldo ni mzuri zaidi sasa nataka nijue Ronaldo ni mzuri zaidi ya Messi kivipi? Kwa kigezo kipi anamzidi Messi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ibaki kusema wewe unamkubali Ronaldo na wengine wanamkubali Messi.kama ilivyo kwa mwanamke wewe utamwelewa sana na wengine wasimwelewe hata kidogo ukilijua hilo haliwezi kukupa shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyo dogo akikataa kuoa utamuuliza kwa nini hataki kweli ?
Kwa maana wewe mama mzazi kwake ndio ilikuwa kiigizo chema pakujifunza lakini badala yake kwako ndio anakuja kupata picha mbaya , itakuwaje kwa wanawake wengine atawaamini kweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.