MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,841
- 3,562
hatuchezeani...kila mmoja etu anaelewa situations za mwenzieSo unamchezea tu binti wa watu
hatuchezeani...kila mmoja etu anaelewa situations za mwenzieSo unamchezea tu binti wa watu
Nyie ndio wanaume sasa.mi leo nimetuma bila kuombwa ila bila ya kutolea.
Baby kanambia tu leo naenda saloon kidume nkajiongeza....ila pumzi kubwa imenitoka sema inataka uzoefu sana haya mambo
Hapo sawahatuchezeani...kila mmoja etu anaelewa situations za mwenzie
wanajishughulisha hadi viuno 😜Weekend leo kijana, watu wako busy 😅
Ambae ni mwanamke "halisi" sio haya madume jike ya haki sawaKila mtu ana matamanio yake juu ya mtu au katika maisha, je!
Ni aina gani ya mwanamke ambae unatamani kuwa nae lakini hujampata?
😅😅😅😅😅.... Ushimen usiwe na shaka siku hizi wanawake wana olewa na wanaume wawili na zaidi.. huenda nikawa mume wa pili au nne kwa kigori wetu😃😃😃muulize National Anthem 😊😊😊😎
mka comment kwenye mada za wakubwaMada za watoto Jf ndo hizi sasa
Sisi wenye wake zetu tuta comment wapi?
😅😅 vipi umefunga dirisha la usajili..🤣🤣🤣🤣,,sawasawa 😊😊
Mi natuliza akili kwanza rafiki yangu,, naona nahitaji somo kabisa nahisi siyawezi🙈🙈😅😅 vipi umefunga dirisha la usajili..
njoo asa tuitiona sasa 😅😅😅 nikukomazeee usizinguliwe kabisa kabisaaMi natuliza akili kwanza rafiki yangu,, naona nahitaji somo kabisa nahisi siyawezi🙈🙈
We nifundishe tu natakiwa kufanya nini,, nini niache na vitu kama hivyo..maana nakosea kila siku hadi najiona desperate sometimes 🤦♀️🤦♀️njoo asa tuitiona sasa 😅😅😅 nikukomazeee usizinguliwe kabisa kabisaa
jiandae na darasa sasa . nitaanza na Q and A... alafu ma solution yatajipa.. hutojutia tenaaa .. uta enjoy kama mie ninavyo enjoyWe nifundishe tu natakiwa kufanya nini,, nini niache na vitu kama hivyo..maana nakosea kila siku hadi najiona desperate sometimes 🤦♀️🤦♀️
Sawasawa lecture 😊🤗jiandae na darasa sasa . nitaanza na Q and A... alafu ma solution yatajipa.. hutojutia tenaaa .. uta enjoy kama mie ninavyo enjoy
Dalasa linaanza usiku eeh 😊😊Sawasawa lecture 😊🤗
tuanze kesho asubuh,,,ninunue na counterbooks kabisa au😃😃Dalasa linaanza usiku eeh 😊😊