Naomba kuuliza,kwani huwez fanya mitihan ya bodi bila kusoma kwenye hyo centre (CFC)…
Mfano mimi nikilipia tu mitihan ya bodi si naruhusiwa kufanya ama kigezo mpka uwe umesoma kwa hyo review classes centre
ATC hawatoi Medical laboratory science ambayo ni moja ya allied science courses so ukisoma laboratory technology ya ATC huwez fanya kazi kwenye hospital labs,zaid utafanya sehem kama viwandan nk
Sema inabidi ukutane nae siku moja uone show
Sitasahau 2015 nipo kwa bibi likizo…..sasa usiku bibi kaniagiza ndani kuchukua unga kulkua na mwanga hafifu wa mshumaa ile kuingia ndani tu hivi mjomba huyu hapa anazama kwenye gunia za mahindi daah….
Swali zuri saaana…
Nipo kwenye mchakato wa kubadili majina ili yafanane na ya kwenye NIDA…
Pamoja na kupata deed poll sina hakika kama watabadlisha majina ya kwenye nyaraka zang kama Passport,Driving Licence
Ngoja tusubiri mamlaka
Ndoa sio ya kila mtu….
Mwenye kuweza na aoe asiyeweza aache….
Tusipangiane Maisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Manara kaoa pisi kali kinoma yaan ule msiba[emoji1][emoji1]
Na unategemea kabsa atafaulu hyo Foundation course then akipata 3 akasome degree chuo gan..
Hyo ada bora akalime nyanya ifakara morogoro huko tena vibarua wapo ni hela yako
Mshana kuna jamaa nilsoma nae o.level baadae kaenda kenya kusomea mambo ya Body Embalming(kuhudumia maiti) alkua vzur tu huu ni karibu mwaka nne yuko katika hyo kazi….
Mara ya mwisho nmeonana nae tumekaa wote kama siku tatu hiv ila namuona hayuko sawa kuna muda anaongea mwenyew tu mara analia...
Hahaaaa kwamba sina akili wakati nawalisha ukoo wenu wote em muulize mama yako anaewalea toka unajikojolea mpka sahv nan
Kisha uhame kwa dada ako…..ndo uje uongee huku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.