Wasalaam
Takribani miaka 25 iliyopita nilikuwa natamani sana kufahamu mama Tanzania amebeba matarajio yangu ya kimaisha kwa kiasi Gani.
Nilifatilia sana siasa za nchi yangu, nilijihusisha na siasa, nilifatilia bunge jeshi letu,watu maarufu viongozi wa siasa n.k nilitamani wawe role model...
Niliongea hapa juzi kuna watu wametukana sana kwa kisingizio kuwa wanaoiba wanawekeza hapahapa Tanzania....nilichoka sana hizi ndio akili za watanzania wanaoiba.
Taifa letu ni shamba la bibi kwa baadhi ya familia na koo fulani. Katika kipindi hichi kuna koo, familia na baadhi ya watu fulani utajiri wao utaongezeka mara dufu yaani.
Napenda kuwakumbusha tu taifa hili lina watu maskini wengi sana tena wanateseka mno wakati mwingine kwa sababu ya mifumo...
Naomba nieleweke, naongea kikubwa hapa, wale wenye uzito watanielewa. Na kwa hili sirejei mechi yenu ya kesho, ombeni Mungu anaweza kuwasaidia.
"Mnapojitafutia mafanikio msizibe pumzi ya jirani yako, yaani afe, asifanikiwe, akwame", uchawi huu huwa unafeli sana na matokeo huwa yanamrudia...
Kwa mtizamo wangu Phiri pekeake ndio naona anaweza tusaidia...hawa wengine sioni mpira wao kbs wanaishia kureceive na kurelease baasi pia hawana nguvu uwanjani. Chama nae keshaanza kulewa sifa
Ukweli lazima usemwe sijui scouting yao ya wachezaji huwa inazingatia nini...una sajili c grade players then unatarajia b na a grade performance? To be honest mm si mdau Wa yanga afrika but navutiwa na timu yao ipo very competitive...with tough players sio utelembwe utelembwe uwanjani safari hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.