Niliposikia kwa mara ya kwanza kuhusa hawa Freemason ni kwamba watu wanaingia katika dini hiyo ili kujipatia utajiri, lakini kinachotokea kwa sasa nasikia baadhi ya watu wenye vyeo na mamlaka katika nchi tena waliofanikiwa katika wanachokifanya, wanamuziki wenye mafanikio na hata waigizaji...
Mimi ni mdada, nilifanya mtihani wa kidato cha sita mwaka 2007 kama private candidates, baadae nikapata nafasi ya kujiunga na chuo kikuu kwa kutumia cheti changu cha matokeo yaani result slip, shida yangu ni kwamba mpaka sasa sijapat cheti changu cha kidato cha sita kwani kila nikienda necta...
Mimi ni mdada ambaye nina utaalam wa kuandika script za filamu pamoja na kutunga ideas za filamu hizo, mpaka sasa nimeshaandika filamu zangu nyingi tu ila sijaweza kuzicheza kutokana na sababu mbalimbali, lakini pia naweza kutafuta ideas za matangazo ya biashara ya redio na Tv na kuandika...
Nakubaliana na wewe kwani enzi zile za kutuma pesa kwa basi ilikuwa ni gharama kubwa hapo bado hujahesabu muda mrefu unaotumika na wakati mwingine pesa kupotea.
Jamani hivi yule mtu anayelia kwenye tangazo linalojulikana kama "wamekata" huwa anazungumza kitu gani maana najitahidi ili nielewe kuhusu hilo tangazo hasa kwenye hicho kipengele lakini siambulii kitu, anayeelewa anijuze! karibuni
Naomba mnisaidie wanajopo hivi kuwa shombeshombe ni bahati? maana juzi nilikuwa naangalia Fnl East africa tv, nikamsikia Nuru anamuuliza mgeni aliyekuwepo kwamba anafikiri mwaka huu ni wa mashombeshombe? halafu akamalizia si unajua sisi mashombemashombe!, si yeye tu lakini namsikia bob junior...
Nimekuwa na tatizo la macho kwa muda mrefu mwaka 2002 nilifanyiwa upasuaji wa jicho kutokana na ugonjwa wa mtoto wa jicho lakini kwa sasa naona tatzo limerudi tena kwa maana ya mtoto wa jicho kurudi tena katika jicho lile lile je inawezekana nikafanyiwa tena na jicho langu likabaki salama? na...
Nakubaliana na wewe mkereketwa redio watangazaji wa redio hizi ni kichefuchefu, nafkri kuna haja ya kuangalia suala la elimu kuliko hivi sasa ambapo wengi ni form waliofeli kazi kuwalisha watu pumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.