Search results

  1. Jidulamabambase

    Siku Zanzibar itakapo piga kura ya maoni kujitenga na muungano

    Kwa sasa hili ni swala la muda tu. yaweza kuwa mwakani au miaka kadhaa baadaye. Kwa hali halisi muungano wetu uko katika mashaka makubwa sana, hasa baada ya Zanzibar kufanya mabadiliko ya kumi yaliyo itambulisha Zanzibar kama Nchi. Kwa kuwa dalili za kubaki na mfumo wa serikali mbili zinazidi...
  2. Jidulamabambase

    Mapanga sha sha - igunga

    Nilifikiri kwa kuwa uchaguzi umekwisha na mshindi wa ubunge amepatikana nisinge endelea kuzungumzia lolote juu ya Igunga! Nimerudi na thread hii hasa baada ya kuona picha halisi katika CTV chadematv's Channel - YouTube Nilichokiona:- 1. Watu waliozoea kuishi pamoja tangu kuumbwa kwa IGunga...
  3. Jidulamabambase

    Kukubali kushindwa!

    Ni lazima mtu akubali kushindwa na au akubali kushinda! Ikiwa CHADEMA wanakubali kushindwa, zifuatazo ndio sababu? 1 Sera za CHADEMA hazieleweki? 2 Watanzania hawana uelewa wa kutosha wa mfumo wa vyama vingi? 3 Ugumu wa maisha kwa wananchi ni propoganda za CHADEMA? 4 Wananchi wa igunga hawana...
  4. Jidulamabambase

    Waislam (batamiki) kuisalia dua chadema

    BATAMIKI kufanya dua ikiwa CHADEMA haitaomba radhi Kauli CHADEMA kuwatuhumu masheikh kuwa wanatumika kuipa ushindi CCM katika uchaguzi mdogo wa ubunge Igunga, zimechukua hatua mpya baada ya Baraza la Taasisi za Mikutano ya Kiislamu (BATAMIKI) kuipa CHADEMA siku tatu kuomba radhi kwa...
  5. Jidulamabambase

    Shibuda waongeaji wazuri wa kisukuma wapo igunga - wewe wapi?

    Shibuda unatafutwa uende Igunga kushindanisha kisukuma na magufuli bado haujarudi nje? Kumbuka wewe unamchango mkubwa kwetu licha ya tofauti kadha zinazojitokeza lakini bado tuna kuamini.
  6. Jidulamabambase

    Igunga yawa kivutio kwa watanzania wote!

    Ni ajabu na kweli, watanzania wote wanauangalia uchaguzi wa Igunga kama uchaguzi wa kitaifa, kwa sasa watu wanaangalia TV ili kupata updates za igunga na ikitokea taarifa inakaribia kuisha watu wanatukana kuwa hawatendewi haki kutokupewa taarifa za Igunga. Maofisini ndio gumzo, vijiweni usiseme...
Back
Top Bottom