Jinsi ya kutafuta kama umepangiwa chuo gani yaan post zimetoka kwa wale waliofaulu ups hajapata nafas za form5 sasa jinsi ya kuangalia nichuo gani amepangiwa nimeshindwa kutafuta
Kwanza kabisa lishe ya mtoto inategemea na umri kuanzia miez6 mpaka8 au9 ni vzr kumpikia nafaka moja kila wiki ili hata kuna yenye aleji kwake ujue ,
Halafu kama utachanganya nafaka zisizid japo kila nafaka ina kaz yake
Kwanin asimnyonyeshe miez 6 jaman mkamjengea immunity ya kutosha na hata kama anaenda kazin si akamue tena rahis kweli muhimu mama ale vizr tu haya maziwa ya kopo hasa lactogen sio mazur kabisa na mengi feki labda s26 ndo mazur na yenyewe ni expensive hata kama mnauwezo maziwa ya mama ni muhimu...
Muhimu kama ndo hamjazoeana kabla ya jambo kuanza kila mtu afunguke kwa mwenzake mi huwa napenda iwe hivi au iwe vile kila kitu siku mkikutana ni kuendeleza tu na kuoneshana sasa mafundisho barabaran na ndo kwanza gar analishika si atagonga lazima tu
Yaan hakuna kitu nakifurahia jaman kama ndoa nina mwaka wa nane ni raha tu unajua ndo ni ubunifu tu hasa kwa mwanamke na kuheshimiana usiiweke ndoa kama kituo cha police yaan unaiheshimu wee au kuogopa na ndo mwanzo wa kusalitiana ila mkiishi kirafiki kila mtu anachohitaji anamwambia mwenzie...
Mbona kawaida sana maana tena anajua mazingira ya hapo anafika anachukua funguo kama hauko na kuanza kufanya usafi sasa hapo tatizo nin shda hamjiamin na kutotosheka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.