hawana mbinu zozote za ajabu, wameangalia njaa zetu na kutumia hiyo fursa....sidhani kama utamuona hata mzungu mmoja akijinasibisha moja kwa moja katika waandaaji wa hiyo semina....kwa hakika ni ndugu zetu wanaofanya kazi kwenye hizo taasisi au kuzimiliki....... ...nao kwao maslahi ya tumbo...
hapa ndio inapokuja sala la kujua ni mbegu gani bora an jee shamba linahitaji mbolea kiasi gani ili uweze kupata mazao mengi per sq meter, in essence bushels per acre....kwa kifupi bado hatulimi kibiashara na hatufanyi utafiti wa kutosha!
sio mzima wewe....unahitaji ushauri wa kisaikolojia. Unaweza kusema una fikra tofauti na za kimapokeo, lakini hili kisaikolojia pia liatzidi kukuharibu,tafakari!
pesa sabuni ya roho.....ila si kila kitu!......hii inanikumbusha wana waisraeli walipokuwa jangwani kutoka Misri kuelekea nchi ya ahadi Mwenyezi mungu aliwalisha Manna ambayo ilikuwa bora kuliko vyakula vya duniani ila watu hawa hawakutosheka au waliboreka wakata vyakula vyao dhalili vya...
Maisha ni kuchagua, ni kila chaguo lina risks zake.....kwenda masomoni ni vema kwa jailli ya fursa za maendeleo kumuacha mke peke yake nayo ni risk ambayo inaweza kuwa na matukio hasi.....binadamu kuwa free ni risks anaweza fanya machaguzi yasio sahihi kutokana na vishawishi na udhaifu wa imani...
Nadhani biashara ya mgodi wa Madini iko poa Kama una nyenzo pia, Kwa ujumla Kuwa na kikosi kazi kidogo ila chenye uwezo mkubwa wa uzalishaji kwa siku.....ila ukienda na mfumo wa sururu jembe utakaa sana
Atakuwa alimaanisha mwaka mzima....ikiwa unamwagilia continiously,kwani mauwa mengi yanakuwa baada ya supply ya maji ya mvua kukatika.....just a thoought
the evil power behind the 1% of wealthy holding society at work........................some big companies will loose and some will gain.....that is why most big companies have diversified.
mostly katika haya makampuni wawekezaji wakubwa hua hawaathiriki kwa sabau za are well protected bali...
hapo umenena.....nadhani wengi tunachangia kwa hisia....lakini pia ni moja ya maana ya mjadala.....lets analyse......kuna aliyesema upembuzi ulibainisha kuwa hitaji la bandari kubwa na ya kisasa kwa karne hii isingiwezekana kwa kurekebisha tu zilizopo, je ni kweli au zilikuwa fact za kupikwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.