Huduma ya M-pesa ya mtandao wa Vodacom inayoongoza Tanzania kwa watumiaji wengi, imetoa fursa kubwa kwa watu mbalimbali kubadilishia maisha na imetuingiza watu wengi kwenye mfumo wa kifedha. Nakumbuka tangu kuanzishwa kwa Vodacom M-pesa mwaka 2008 watanzania imeturahisishia huduma za kifedha...
Katika hali isiyo ya kawaida Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kimejivuruga katika kupambana na Paul Makonda baaada ya kumtaja M/Kiti Mbowe kujihusisha na Dawa za Kulevya hivyo kupoteza Dira na Malengo ya Chama hiko. Chadema nimekuwa Chama kikuu cha upinzania Tanzania lakini kwa hali...
Kuna vijana wa CHADEMA waliyojipa jina la TUG waliojitokeza kuutangazia Umma kuwa kijana mwenzao ambaye ni Katibu Msaidizi wa M/kiti wao wa Taifa Chadema Freeman Mbowe, pia ni Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera Chadema Makao Makuu Ndugu Ben Raibu Wa Saanane amepotea na hajulikani alipo takribani...
Tazama hapa moja kwa moja kutoka Bungeni, Bunge la kumi na moja, kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, kisha maswali ya kawaida kwa Serikali. Bofya hapa kutazama
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Ally Salum Hapi amefanya ziara ya vituo vya Afya vikiwemo Tandale na uwanja wafisi sasa jijini Dar es Salaam na kuweka wazi mipango yake ambayo ameiona akiwa katika ziara hiyo.
Ally Salum Hapi moja ya wakuu wa Wilaya walio na nguvu kubwa haswa ukizingatia aliyekuwa...
Mkazi wa Tandale kwa Tumbo jijini Dar es Salaam, Salum Abdallah, maarufu ‘Dama’ (40) ambaye ni mlemavu wa miguu, amepandishwa kizimbanzi katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kubaka na kumwingilia kinyume cha maumbile binti mwenye umri wa miaka 12...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Serikali wa kufuta tozo tano kati ya tisa alizokuwa anakatwa mkulima wa zao la korosho uko pale pale na unatarajiwa kuanza kutumika katika msimu mwaka huu hivyo ameitaka Bodi ya Korosho kusimamia uamuzi huo.
“Watendaji wa Serikali katika ngazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.