Hapo lilipo jengo la n. h .c palikuwa hivyo maboresho yakafanyika sasa ni maofisi na limechukuwa watu wengi zaidi wapishe maendeleo zama za kukataa kila kitu zimeisha
Huko kimara nasikia kushikana hukusisimui tena demu wa kimara shida zao wanamalizia huko mwendo kasi wanapenda kukaa mlangoni ili washikwe vizuri na kukumbatiwa gari ina nafasi ndani lakini milango haifungi
Nchi inataka kufanya maboresho ya bandari bungeni imefuata nini. Watu watoe maoni ya nini naona siasa kuliko uhalisia dp wapewe kazi tuone kontena zikipakiwa kwa wakati na milolongo ipunguwe sio ukipakia contena gari inachukua masaa ma4 kutoka getini. Watumie mfumo wa t.r.h ukipakia dakika 5...
Watoto wasome kupunzika ni baadae ukiona unalalamika ujue unataka mtoto wako awe panyaroodi kusoma si lazima basi mitaala ni ileile asome karibi na nyumbani
Waluguru wanapambana na maboga huko mlimani ndege yanini? Mkude yupo hapa anasema hata hiyoi treni ya umeme ni ngumu kwa mluguru kupanda yeye ni abudi bus tu inamshusha anapotaka
Mayele azizi chama morison wanalipwa gali kuliko wahadhiri na maprofesa wetu lipumba kwa kipato anazidiwa na mama ntilie,unataka wafanye biashara gani kama sio hizo hapo juu
Huyu jamaa huwa anawekeza pia hapa tanzania unajua ukitaka kujenga gorofa hapa tanzania ukishindana na kampuni za rostam hutoweza kumshinda sababu amenunua compresa yenye uwezo wa kupandisha zege gorofa ya 30 na bei zake ni za kizalendo sio kama za wachina kwanini mnachafua majina ya watu bila...
Usipoishi na sisimizi popo bundi mjusi nnge wewe ni tatizo hawa ni viumbe kama wewe wanapenda kukaa sehemu salama.hata wewe mahali ulipo ukiona sio salama kwako hama.mawazo ya mtoa mada ni upotoshaji wenye nia ovu au ndio njia yake ya kujitafutia
Jana nimeangalia mechi kupitia TV ya Kenya nikajiuliza TBC wana mpango gani na nchi hii au wao ni kusifu tu wakienda mbali ni sabasaba. Viongozi TBC jipimeni kama mko kazini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.