Wana jamii nimefuatilia kikao cha bunge jioni hii na nilichogundua kikubwa ni kuwa mwenyekiti wa bunge ambaye pia ni mbunge wa kibakwe ambayo ni moja ya majimbo wilayani mpwapwa mkoa wa dodoma mheshimiwa george simbachawene ana upeo mkubwa wa kuliongoza bunge na anazifahamu kanuni vizuri,pia ana...
Hiyo ni changamoto kwako IGP MWEMA na askari wako,nahisi miundo mbinu ya kituo hicho haikuwa mizuri kwani mlango wa lock up ungekuwa na mlango wa grill ambao ni imara hata kama askari huyo baada ya kupigwa na kuanguka ingewawia vigumu kuufungua mlango na kukimbia,kwani askari wengine wangekua...
nashauri wanapoenda kwenye mafunzo yao ya awali ktk mitaala yao wawekewe somo la HUMAN RIGHTS inawezekana labda huwa hawafundishwi,no one is above the law bwana.
hatuna sababu ya kukulaumu kwa ulichokiongea,siyo kosa lako lakini tupe ushahidi basi kutudhbitishia hayo uliyosema.Natumai wewe ni msomi mzuri tu na najua utafanya hivyo kwani sote tupo kwa maslahi ya nchi yetu.LETE USHAHIDI MAMA.@JOYCE
HELLO WANAFORUM WENZANGU,HASA MNAOTAFUTA KAZI HEBU JARIBUNI KUSURRF KWENYE WEB HII cvsfile.com: East Africa's online jobs and CVs site MNAWEZA KUBAHATIKA,KWANI NI INAHUSU AFRIKA MASHARIKI NA KATI.
Jamani mi nafikiri hata tukilalamika sana haitasaidia na hawawezi kubadili uamuzi,ila meseji kwa CCM imefika na nafikiri ni changamoto pia katika kuunda baraza la mawaziri,au wenzangu mnasemaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.