Mimi si mtaalamu wa kilimo lakini ninavyoelewa ni kuwa vitunguu saumu havina mbegu (seeds). vinatolewa vipande vyake na kupandikizwa.
Kwahiyo kuagiza vingi kutoka nje, mbegu yetu baadae ita phase out.
1. sina jibu
2. Mgonjwa ndie anayemfuata Dr. Pia haya mambo ni ya imani, ukifika mpaka huko aliko tayari umeonyesha imani kuwa utapona.
3. Inawezekana gharama za dawa na kuchemsha etc. hazizidi 500shs. kwahiyo hataki kuwaibia wagonjwa.
Newmzalendo, ramani kupitishwa manispaa ni lazima in respective of umeitoa wapi. wanachoangalia manispaa sio mpangilio tu ya ramani yako tu jinsi vyumba unavyotaka viwe, ila kuna mambo mengi ya kisheria na mipango miji.
Eg. je hicho kiwanja unakimiliki kihalali,(hapo unatakiwa uambatanishe na...
Wakuu,
Nimegundua ili ufanikiwe kama mfanya biashara au mfanyakazi wa ofisini inakulazimu kunywa pombe, kwa bahati nzuri au mbaya tangu nimezaliwa 2 decades na ushee ago, sijawahi kunywa pombe aina yeyote kwa sababu hiyo nimekuwa mbali na mafanikio kazini. Katika kudadisi kwangu nimegundua...
Paka dawa ya mswaki aina ya colgate. sina uhakika wa siku ngapi inategemea umeathirika kiasi gani, lakini baada ya siku tatu utaona effect. fungus zitaanza kukauka.
otherwise nenda kwenye pharmasy kubwa wataweza kukusaidia dawa ya kupaka au na vidonge.
Kama umeukata ukaenda mtoni unarudi na "gurue" pegeout 504 sasa hivi ni kama vogue
Movies zetu zilkua 'Three the dardway' Jimy kelly Jim brouwn and Fred williamson.au 'One silver doller saved my life'.etc,
Story books zetu zilikua novel za James hardly chase, Sucker punch, Just another sucker...
Thanks kwa kunikumbusha mbali el. huyu ni dj kalikali na huyo mweupe ni dj pantalakis enzi zetu early 90s. hiyo benzi ni ya saidi hilali ali. (BORN CITY) Enzi hizo vijana walikua hawana tamaa sana ya michuma, labda awe ni "sea man"
Wana JF naomba mwenye details zaidi azimwage hapa. Hivi hii New world order au kwa kiswahili kama sijakosea mpango mpya wa dunia, mpango (malengo) yake haswa ni nini? na uko zaidi kisiasa, kiuchumi au kidini. Muasisi wake ni mtu, taifa au bara. :help::scared:
Mungu anafurahia ndoa kama mafuta yatiririkayo kwenye ndevu za haruni. Ila shetani anafanya juu chini kuhakikisha ndoa nyingi zinavunjika.
Inawezekana dada hao washauri wako wa mwanzo pia ni washabiki wa kutaka kuvunja ndoa yako. Chunga ndoa yako, au ukishindwa kabisa tafuta washauri makini...
Thanks yeshua for warm welcom, nimeigia hapa jf naona watu wamelewa chakari, pombe mbaya sana ya POLITICS.mpaka wanacora ramani (wanapepesuka) What the hell is this !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.