Alicho Andika Huyu jamaa Hapa Jamii forum ni upotoshaji kwa vijana na watu wengine ambao huheshimu uzoefu wa wengine.
Jamaa Kaandika haya:-
"Kwa bao la kwanza hapa tunaongelea dk 1 hadi 1 na nusu..
Sasa nguvu za kiume ni uwezo wa kuamsha dude fasta baada ya bao la 1...
Wenye nguvu za kiume...
Santuri, Kaseti floppy, CD na sasa DVD na USB flash ndio njia ambazo kazi ya Sanaa zimekuwa zimekuwa zikiuzwa na kuhifadhiwa. Japo
hizo za mwanzo zimepitwa na wakati
Shukrani kwa wenzetu wa Ulaya na Asia kwa tecnoloja Hizo.
Hivi kwa mfano yani Mkaja na Flash simple ambazo zinasecurity ambayo...
Hivi ushaa wahi kuwaza kuwaza! Yule mdada ambaye enzi zile mzuka wa mapenzi unaanza kutawala maisha yako na ukamuona kama google kwani kila unachotafuta unaona anacho angekuwa anakuja ghetto Maisha yako ya Mapenzi yangekuwaje? Kuna umri wa kuwa uko active kimapenzi. Hisia pia ziko juu na mawazo...
Kabla ya uungu wa Yesu tupe kidogo kuhusu uungu wa Mungu.
Mwanadamu kuwa na ancestor mmoja na Manyani na hii ya Mwanadamu na udongo ipi inakaribia Logic
Allah Anasema, Msiamini Katika dhana, Kwani Dhana ni Dhambi na uwongo Mtupu.
Uhalisia hauko hivyo, Unatakiwa uwatilie mashaka watu wote Cause uhalisia ni kwamba wachache wanajali wewe ni nani, Wengi wanajali watapa nini katika kuhusiana na wewe
Kitu cha kwanza unachotakiwa kuwajipanga pindi...
Ok man, kuna tabia za kawaida, Neurotic behavior na Psychotic behavior. Tabia ya kawaida hutafsiriwa na jamii yako. Najua ukweli wangu, najua ukweli wenu. Nahakikisha kwamba tabia yangu inabadikika kulingana na Mazingira, wakati na Na nina deal na nani. So bye bye Mental wards. Sehemu ambayo...
Nabaki na shangaa! Wagonjwa wa akili hupoteza uhusiano na uhalisia, Wanasikia sauti za watu ambao hawapo sehemu husika na wakati mwingine kuona vitu ambavyo wengine hawavioni. Wanakuwa na harakati ambazo huwa na namaana kwenye akili zao peke yao. Siwezi pinga kwamba niliishi na depression...
Kwa kuwa Mademu Poda na wanja watapata bure, Mzigo watatoa bure (one of comment received after I posted in Jamii forum (with my lost account) Kutoka kwa mtu ambaye alisoma na akaelewa kinagauba ili topic
Nilikuwa na bishana na madaktari mwanzo mwisho. Na siku nyingine na goma kuhojiwa kwa sababu nilikuwa sitaki kubishana na wapumbavu. Ishu ninazoongea ni simple hazihitaji hata tuition kuelewa.
Sehemu tata ambayo sasa ni megundua nilikuwa nazingua ni kumuweka mungu kama master mind kwenye...
Suala la video ya ngono ya kiongozi wa dini kuvuja sio dogo. Vitendo vya ulawiti na mapenzi ya jinsia moja vimekuwa vitu vya kawaida katika dunia ya leo.
Baba askofu ametoa maelezo mengi juu ya picha jongefu iliyowekwa kwenye mitandao na akadai kuwa yeye ni mhanga tu wa tukio hilo na kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.