Ukifumba macho kwa kifo unafumbua macho ya rohoni na kujua wanaokupokea ni akina nani kutokana na ulivyojiandalia...
Wakatoliki tunaamini kuwa mpako wa mwisho hufuta madhambi yote na kufungulia mlango wa Mbingu...
RIP JPM
Sidhani kama alipewa. Maana jamaa walitaka kujenga kijiji cha Olympic na viwanja kijijini kwake serikali iligoma... Na Binti yake ambaye nilifanya naye kazi alimtaja hadi huyo waziri wa michezo, hakupewa stahiki zake nyingi na kilichouma familia ni kitendo cha kuzuia kujengwa kiwanja na kijiji...
Niliisikia stori hii kwa binti yake mmoja ambaye niliwahi fanya naye kazi kwenye taasisi moja. Ilikuwa inspirational kweli, wageni walimtembelea sana na ambapo walitaka kujenga kiwanja kijijini kwao llakini serikali ilimtilia ngumu na kuelekeza ujengwe sehemu nyingine. Wahisani waligoma na mradi...
Azitumie kulipa gharama za kumfunga... Yaani ajikaange kwa mafuta yake mwenyewe...
Niliwahi ingia kwenye anga zake alinipiga mkwara kuwa atanishughulikia, nikamwambia just do what you want, ila pua yako imeangalia chini utanifata tu... Hiyo hela hadi leo hajalipa...
Hii kitu ni changamoto sana na inaweza kukusababishia depression. Kitu cha kwanza kubali kuwa ni kweli si ndoto. Kitu cha pili badilisha namna ya maisha uliyokuwa nayo wakati akiwepo. Fanya marafiki wapya, anza kuishi upya. Usipende kukaa peke yako, kaa na watu wengi na ambao hasa hawajui...
Kuna kuua makusudi kwa kudhulumu nafsi. Mfano mtu hana issue yoyote na wewe mara unaenda kumuua, lazima marehemu akuulize kwa nini umeniua? Kama ulitaka kumdhuru na katika kujitetea, nafsi yako inakuwa na jibu kuwa nimekuua ili kujilinda maana ulitaka udhulumu nafsi yangu bila kosa...
Kwangu mimi masoko ndo kitu muhimu sana katika biashara. Unapofungua biashara, unategemea kumuuzia nani? Tabia ya ununuzi wake ipoje? Wateja wako wanataka nini kutoka kwako? Ukiweza kulitambua soko lako na kulihudumia ipasavyo na kuwashinda wapinzani wako ambao wanauza bidhaa kama yako basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.