Mkuu ongeza nyama hapo kwenye reptilian family na uvumbuzi wa teknolojia, hao reptilian family ni kina nani? Na hiyo teknolojia kwanini iwe Nevada tu na sio sehemu nyingine duniani?.
Wanawake wa West Africa wanaamini hivyo na hufanya kwa watoto wao tangu wakiwa wadogo kabisa kiumri, nimekutana na zaidi ya mabinti 5 wa West Africa wote wanadai ni kweli inasaidia kumfanya mwanamke kuwa na shepu nzuri. Kiasi nikaamini kuwa labda ni kweli kutokana na kuwa na wanawake wengi wenye...
Wimbo mzuri sana, mtoa mada una matatizo sana. Hao viongozi wako wakitaka kukuibia hawaoni aibu na wala hawana hiyo staha ambayo umemtaka Ney wa mitego kuionyesha mbele zao. Jamaa sio mnafiki kaongea ukweli sioni shida unless uwe hupendi kuambiwa ukweli.
Wabongo mna nongwa sana hamna jema hata kidogo, jamaa kajitolea kuwasaidia vijana ambao kila siku wanahangaika kutafuta ajira Bongo bila mafanikio mnakuja kumkatisha tamaa bila sababu za msingi. Jamaa namjua ni mkweli sana na pia hana njaa kama ambavyo wengi mnamfikiria. Nakumbuka wakati naingia...
Huyu jamaa yuko vizuri, anashusha nondo za maana sana. Mahubiri yake si lazima uwe umeokoka ili umuelewe anagusa maisha yetu ya kila siku. Mtoa mada sikubaliani na wewe kumuita huyu jamaa kuwa ni mjanja mjanja.
Ni kweli kwenye Quran kuna kifungu kinachomruhusu muislam kujitoa muhanga na endapo atafanya hivyo atapewa mabikra 72 akifika ahera? Hii ni kweli au stori tu za mitaani?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.