Vyama vyote vikibwa yeyote angeshinda ilikua ni lazima afie madarakani kwa awamu ya tano.
Tuliaminishwa Lowasa ndio angefia ikulu pekeake ila amewazika wenzie kibao.
Mungu amrehemu na kumpokea mja wake[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sent from my CPH2239 using JamiiForums...
Nimewahi muuguza mgojwa wa Cancer, Mungu awe faraja yako kwa hakika unapitia kipindi kigumu ila kila tunalopambana nalo tunaliweza. Mungu asikuache, Amen.
Wakuu habari,
Katika namna ya kuendelea kujitafuta nimekutana na wazo la kufanya biashara ya vifaa vya umeme vya majumbani kama bulbus, wire, main switches, zile pipe za kupitishia nyaya na vingine vinavyo husiana na umeme majumbani.
Naomba wanaojua walete michango yao, wagusie mtaji, faida na...
Wakuu habari,
Katika namna ya kuendelea kujitafuta nimekutana na wazo la kufanya biashara ya vifaa vya umeme vya majumbani kama bulbus, wire, main switches, zile pipe za kupitishia nyaya na vingine vinavyo husiana na umeme majumbani.
Naomba wanaojua walete michango yao, wagusie mtaji, faida na...
Kwahiyo mkuu sifurahii mapenzi na ndoa, tunaishi wakati uliopo, yaliyopita yamepita tazama yamekua mpya, tunaweza kuomba ushauri kwaajili ya ndugu na jamaa zetu.
Leo nimeleta ya moyoni sana, nielewe tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.