jamii tunashindwa tambua kuwa kuna vitu vingi kama kampuni ya goole imekuwa ikipigwa marufuku nchi nyingi kuchunguza siri za watu mpaka sasa ikiwa mshiriki na mzamini wa android.japo itakuwa siri ya watu wengi.ikitumia kampuni kuchanganya watumiaji wengi wa vifaa vya smart kwa sasa.MIMI...
Nijapo na mtu mkweli akubaliki kwao lakini katika sekta ya ulinzi katika interneti kwa tanzania haipo wazi kuku fahamisha wazi ndo maana leo tuna ona siri nyingi ziki vuja ata unacho fanya unashangaa nani kafanya.tuna changamoto gani kwa jambo hili
Ndugu wa wapenzi nimeamua kurudi kutokana na watu wengi kunishauri nirudi nimekuwa mkombozi wa watu kwenye sekta ya ulinzi japo nime wa saidia sana karikoo dar es salaam maswala ya wizi.lakini sikupata msaada wowote wa kimawazo nimeishia kunufaisha watu,nime amua kubadilika kwa sasa babu ya...
Baada ya kufirisika kampuni ya g-tv watu walishindwa kuvitumia tena vyombo hivyo
chizi computer
ukitaka kutoa lock ya g-tv ili upate chanell ambazo una zi control we mwenyewe
password ni hii 1978
kama ikikataa wasiliana na mi
kama una matatizo ya computer
software
hardware
au maulizo -...
kaka uta crash proccessor ya machine yako hizi mac os 86x ziko kwenye project ya kungia kwenye proccessor za intel ikiwa chini ya apple kwa hiyo watu wana force
Wanajamii forum nimerudi tena niko mbioni kuzindua application ya ngu ya bongo music tune wakati wowote karibu
maelezo zaidi
ingia kwenye facebook search:bongo music tune
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.