kwa wale wa vitu vya apple,iphone,ipod na ipad

kwa wale wa vitu vya apple,iphone,ipod na ipad

edjizzo

Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
81
Reaction score
1
chizicomputer

sasa anatoa huma ya msaada kwa wale ambao wame lock iphone,ipad,ipod

nipigie sio una nibeep

0712484995
 
Kwa nn usiwasaidie hapahapa jamvini?!!!
 
Mzee wa chizi comptr, huku niliko ni nje ya tz na kuna wa2 weng wanaitaj msaada, so nitafute tufanye biashara bab!
 
Chizi...umetokea wakti muafaka,kuna kama hizi used zinazotokea dubai,huwa zinachosha sana...tutafanya kazi!!
 
wewe chizicomputer acha usanii wewe unaweza ku-unlock iphone au ipad kwa maelekezo ya simu ww? nasema hivyo kwa kuwa mi ni mtaalam wa hivyo vitu na najua usumbufu wake hasa iphone 4 zilizolokiwa na kampuni ya verizon wireless ya marekani unaweza ukaijailbreak kwa maelekezo ya simu tu wewe?
chizicomputer

sasa anatoa huma ya msaada kwa wale ambao wame lock iphone,ipad,ipod

nipigie sio una nibeep

0712484995
 
Hizo cm ni tofauti na cm nyingine ukikosea kidogo tu maelekezo imekula kwako mazima sio kama vile unavyounlock modem hivyo vitu vina software nne za kuunlock na moja ina ukubwa wa 420mb inayofuatia ina ukubwa wa 78mb sasa hizo software unaweza ukaziweka JF kweli?
Kwa nn usiwasaidie hapahapa jamvini?!!!
 
hacha uongo wewe??????? wewe waambie ukweli kuwa kuna SIM CARD mahalumu sio software nne au mb kubwa
 
Hujui mbinu za kibiashara, really ChiziComputer is your business name?
 
hacha uongo wewe??????? wewe waambie ukweli kuwa kuna SIM CARD mahalumu sio software nne au mb kubwa

mkuu kama ujafanya utafiti una haki ya kuongea hadharani mambo ya card yamepitwa na wakati sasa hivi unaunlock direct k2 hewani kwaiyo rekebisha kauli yako ya kumwita mwenzako mwongo
 
Back
Top Bottom