Ni wewe ndio unatatizo, haiwezikani kwa mwaka mara 10, hiyo mara 10 mm napiaga ndani ya siku 15. Nikiwa free na kukawa na ubusy basi walau nitapiga kwa mwezi.
Na katikatikatikati hapo huwa napiga puu japo mara moja au mbili kuweka mwili sawa, Situkia kilevi chochote, sipaki dawa wala kunywa...
Ni nn faida ya yy kufika kileleni, unafaidika na nini?
Pesa zako ale
Guest umpeleke wewe
Msosi ugharamie wewe
Na bado ujipe kazi ya kutaka kumfikisha huko kileleni, kwani unalipwa?
Piga mbupu, ukifika wewe, enjoy kisha sepa
"Swala la uhandishi ni watu wachache wanariweza, nakiri mimi ni mmoja wapo uhandishi unanitesa"
Ungeandika hivi bila shaka ningekubaliana na wewe, Suala lipo wazi kabisa, kwa mazingira ya Dunia yetu hii ya Kitanzania, kwa muandiko ule wa mzee wa ULISI, jamaa ni empty headed, kuna mawili posible...
Mrisho ni mtoto wa town....tofaut na hao akina Ngoyai.....ndio sababu aliwapigana chin toka wapo pamoja........ magogon ataingia maguful kwa kusindikizwa na mrisho na mkabidhij atakua makamu kwa ajir ya furaha
Atume sms au asitume sms.....jimbo lake tunampa, kama unakumbukua msigwa tulimpa 2010 kwa sababu yakuiadhibu ccm kwa kumpitisha mama mbega ambae alikua ni kinyume na chaguo petu sisi wana wa Iringa mjin......sasa chaguo letu limekuja,,,,,,,,viva mwakalebela
Hiyo habar ni uongo mtupu...huyo ni saiid kubenea na mwendelezo wa kuwachafua wabaharakat waliotoka chadema..........
Ukweli ni huu tarehe 7/10/2015 dr Wilbrod slaa atakuwepo iringa mjin katika uwanja maarufu kisiasa wa Mwembetogwa,, rasmi atajiunga na ACT WAZALENDO, nakumnadi mgombea wa ubunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.