Baada ya kumsikia afisa Habari wa Yanga Ndg. Kamwe akitaja IDADI ya mashabiki wa team yake kuwa ni kama ml. 20, na takwimu zilizosomwa Leo na Mh. Rais Samia kuwa waTanzania tupo ml. 61, hii tafsiri yake kuwa Simba ina fans wanaokaribia mil. 40.
Hii imechagizwa na idadi kubwa ya Watanzania...
Nimekuwa naamini kama ni mchezaji nzuri kwenye team na anahitajika mno kwa local players, amekuwa akifanya kila jitihada na kudeliver kile mchezaji anapaswa kwa team yake.
Ukata wa MAGOLI kulimnyima hali ya kukjiamini, na lilikuwa linasubiriwa kwa hamu kwake yeye, bench LA ufundi na wachezaji...
Karibuni kwenye symposium wajumbe,
Nimeona kuna baadhi ya vitu SERIKALI inafanya ambavyo vinamuumiza moja kwa moja mwananchi. Mathalani suala la Tozo za simu, Kodi ya nyumba kupitia LUKU, na baadhi ambavyo yanapangwa yenye lengo la kujinufaisha YENYEWE huwa hawazingatii au kuhofia Mzigo kwa...
Ni siku tangu Wallace Karia ametangazwa kama mgombea pekee ambaye amekidhi vigezo ili kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Urais wa TFF kwa Uchaguzi ujao, na imeelezwa kuwa hatopigiwa kura bali ATATHIBITISHA tu. Sina tatizo kama amekidhi vigezo au la!
Hoja yangu inaenda kwa waandishi wa habari na...
Baada ya kifo cha mpendwa wetu takriban mwezi mmoja sasa kumetokea na sintomfahamu kubwa BUNGENI miongoni mwa MPs, hali ambayo sio AFYA kwa taifa letu. Tukumbuke kuwa hili ni Bunge la budget, lakini anasimama mbunge wa jimbo fulani kuchangia Hotuba ya wizara husika lakini hoja inajikita katika...
Kwanza niipongeze serikali kwa kuanzisha elimu bure, kwani imekuwa chachu na hamasa kwa wazazi kuona kama gharama zinapungua kwa kumsomesha katika mfumo huu wa elimu bure. Jambo ambalo sio sahihi.
Hii elimu bure ni changamoto kwa walimu hata wazazi, na imeshindwa ku-guarantee ubora wa elimu yetu...
Yanga f. c wamekusanyana kutwa yote na ile kubwa yao wakapata 900m, wenzao MTU mmoja tu anawaletea KUBWA KULIKO yaani 1.2billion. Sunche na Kapeto bhana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tumeona team nyingi zinazoenda Afcon zikiagwa kwa uzito sana, sisemi halijafanyika hilo hapana ila je, tumekosa viongozi wote wa juu kwenye hili?
Wenzetu wengi wameagwa na Viongozi wakuu wa nchi zao, mbona wa kwetu hawajalipa uzito suala hili?
Tuna Rais, Makamu wake, Waziri Mkuu, Spika na...
Kwa mara nyingine tena Serikali ya Tanzania imeingia kwenye kashfa mzito na inayozidi kudhihirisha kwamba haiko makini na suala la elimu. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katika wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano kutoka shule za sekondari wilaya ya Masasi mkoani Mtwara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.