Hii elimu bure ni changamoto kwa walimu hata wazazi

Ngho

Senior Member
Jun 2, 2015
121
189
Kwanza niipongeze serikali kwa kuanzisha elimu bure, kwani imekuwa chachu na hamasa kwa wazazi kuona kama gharama zinapungua kwa kumsomesha katika mfumo huu wa elimu bure. Jambo ambalo sio sahihi.
Hii elimu bure ni changamoto kwa walimu hata wazazi, na imeshindwa ku-guarantee ubora wa elimu yetu kwa sababu zifuatazo.
Mosi, gharama za uendeshaji shule na kiasi cha pesa kinachotolewa kutoka serikalini hakitoshelezi mahitaji ya shule husika, kwa mfano shule x inaweza kuwa inapokea 1.2mil. ambayo ndani yake kuna posho ya madaraka, pesa ya stationary, vifaa vya michezo, dawa (first aid), ukarabati, mlinzi, na vibarua wengine. HII pesa huwa haitoshi, wakuu wa Shule wameshindwa kulalamika wanaendelea na uvumilivu USIO na tija.

Pili, elimu bure imewalazimisha wazazi wawe wachangiaji wa mara kwa mara kuokoa jahazi, mfano mzazi anaweza kufikisha hata 150k, ambapo before elimu bure mzazi alikuwa analipa almost elfu 40 a year.

Tatu, wanafunzi wamekuwa wanakosa miundombinu mizuri ya kujifunzia ikiwa uwepo wa SAMANI za kutosha kwa kuwa serikali haijihusishi sana katika kuangalia ubora wanaouhubiri.

KUTOKANA na hoja hizo serikali inapaswa kuliangalia ili kuboresha kwa ufanisi mpango uliokusudiwa. FREE AND BETTER EDUCATION, na sio FREE AND BITTER EDUCATION.
Mwisho serikali inaweza kuamua, kati ya kuboresha ili ufanisi na ubora wa elimu inayotolewa mbele ya changamoto tajwa hapo juu au irejeshe mfumo wa kulipia kama zamani.
NAWASILISHA
 
Acha ujinga, ikiingia vuta posho yako kwanza.


Nunua chaki za kutosha


Nunua panado za buku, sprit, bandeji na maji. Jumla usizidi laki.



Walimu wanunulie makaunta ya kuandalia.


Mitihani andika ubaoni, walipe walimu 10 kwa kila mtihani ili wasilalamike. Unatumia 100_000 na watoto wachane daftari zao.


Usiwakorofishe walimu wako wakaanza wao kukuchoma.


Ova
 
Kwanza niipongeze serikali kwa kuanzisha elimu bure, kwani imekuwa chachu na hamasa kwa wazazi kuona kama gharama zinapungua kwa kumsomesha katika mfumo huu wa elimu bure. Jambo ambalo sio sahihi.
Hii elimu bure ni changamoto kwa walimu hata wazazi, na imeshindwa ku-guarantee ubora wa elimu yetu kwa sababu zifuatazo.
Mosi, gharama za uendeshaji shule na kiasi cha pesa kinachotolewa kutoka serikalini hakitoshelezi mahitaji ya shule husika, kwa mfano shule x inaweza kuwa inapokea 1.2mil. ambayo ndani yake kuna posho ya madaraka, pesa ya stationary, vifaa vya michezo, dawa (first aid), ukarabati, mlinzi, na vibarua wengine. HII pesa huwa haitoshi, wakuu wa Shule wameshindwa kulalamika wanaendelea na uvumilivu USIO na tija.

Pili, elimu bure imewalazimisha wazazi wawe wachangiaji wa mara kwa mara kuokoa jahazi, mfano mzazi anaweza kufikisha hata 150k, ambapo before elimu bure mzazi alikuwa analipa almost elfu 40 a year.

Tatu, wanafunzi wamekuwa wanakosa miundombinu mizuri ya kujifunzia ikiwa uwepo wa SAMANI za kutosha kwa kuwa serikali haijihusishi sana katika kuangalia ubora wanaouhubiri.

KUTOKANA na hoja hizo serikali inapaswa kuliangalia ili kuboresha kwa ufanisi mpango uliokusudiwa. FREE AND BETTER EDUCATION, na sio FREE AND BITTER EDUCATION.
Mwisho serikali inaweza kuamua, kati ya kuboresha ili ufanisi na ubora wa elimu inayotolewa mbele ya changamoto tajwa hapo juu au irejeshe mfumo wa kulipia kama zamani.
NAWASILISHA
Mbona unaishia elimu bure tu! Ongeza SGR - mataruma yayeyushwe tutengeneze chuma tuuze nje: Meli zivunjwe tuuze vyuma chakavu : Tuajiri watu wengi serikalini, hasa wasio na vyeti au ujuzi wowote: Maofisini akae anaye taka kukaa, mwenye miradi yake nje ya ofisi aje wakati akijisikia! Ebo!
 
Kweli kabisa. Mimi nimeshangaa kukuta shule ina wanafunzi kidato cha kwanza 1200, nikashangaa zaidi kukuta wanakaa kwenye madarasa 9, nikastajabu zaidi kuona mwalimu wa somo physics, chemistry, biology na math ni mmoja kwa kila somo, nikabaki mdomo wazi kukuta kila chumba kina meza na viti vya kukalia zisizozidi 40. Wazazi mustuke kumpeleka mtoto wako shule hizi ni sawa na kumpeleka maabusu ya polisi.
 
Mbona unaishia elimu bure tu! Ongeza SGR - mataruma yayeyushwe tutengeneze chuma tuuze nje: Meli zivunjwe tuuze vyuma chakavu : Tuajiri watu wengi serikalini, hasa wasio na vyeti au ujuzi wowote: Maofisini akae anaye taka kukaa, mwenye miradi yake nje ya ofisi aje wakati akijisikia! Ebo!
Ninyi ndio chorus ya wanyonge imewakaa akilini
 
Kweli kabisa. Mimi nimeshangaa kukuta shule ina wanafunzi kidato cha kwanza 1200, nikashangaa zaidi kukuta wanakaa kwenye madarasa 9, nikastajabu zaidi kuona mwalimu wa somo physics, chemistry, biology na math ni mmoja kwa kila somo, nikabaki mdomo wazi kukuta kila chumba kina meza na viti vya kukalia zisizozidi 40. Wazazi mustuke kumpeleka mtoto wako shule hizi ni sawa na kumpeleka maabusu ya polisi.
Ndio hali halisi kwa maeneo ya mjini
 
Kama unampenda mwanao na haujamzaa kwa bahati mbaya hizi shule za serikali sio za kupeleka mtoto
 
Mbona unaishia elimu bure tu! Ongeza SGR - mataruma yayeyushwe tutengeneze chuma tuuze nje: Meli zivunjwe tuuze vyuma chakavu : Tuajiri watu wengi serikalini, hasa wasio na vyeti au ujuzi wowote: Maofisini akae anaye taka kukaa, mwenye miradi yake nje ya ofisi aje wakati akijisikia! Ebo!
Wafute kabisa hiyo elimu bure ili tuimarishe uchumi,Tena waende mbele zaidi hata vituo vya afya vyote fykelea mbali na ndege wauze screpa Kisha wale walotolewa kwa Vyeti feki wawalipe fidia na kuwaridhisha kazini na waajiri ndugu zao na watoto wao.
 
Kwanza niipongeze serikali kwa kuanzisha elimu bure, kwani imekuwa chachu na hamasa kwa wazazi kuona kama gharama zinapungua kwa kumsomesha katika mfumo huu wa elimu bure. Jambo ambalo sio sahihi.
Hii elimu bure ni changamoto kwa walimu hata wazazi, na imeshindwa ku-guarantee ubora wa elimu yetu kwa sababu zifuatazo.
Mosi, gharama za uendeshaji shule na kiasi cha pesa kinachotolewa kutoka serikalini hakitoshelezi mahitaji ya shule husika, kwa mfano shule x inaweza kuwa inapokea 1.2mil. ambayo ndani yake kuna posho ya madaraka, pesa ya stationary, vifaa vya michezo, dawa (first aid), ukarabati, mlinzi, na vibarua wengine. HII pesa huwa haitoshi, wakuu wa Shule wameshindwa kulalamika wanaendelea na uvumilivu USIO na tija.

Pili, elimu bure imewalazimisha wazazi wawe wachangiaji wa mara kwa mara kuokoa jahazi, mfano mzazi anaweza kufikisha hata 150k, ambapo before elimu bure mzazi alikuwa analipa almost elfu 40 a year.

Tatu, wanafunzi wamekuwa wanakosa miundombinu mizuri ya kujifunzia ikiwa uwepo wa SAMANI za kutosha kwa kuwa serikali haijihusishi sana katika kuangalia ubora wanaouhubiri.

KUTOKANA na hoja hizo serikali inapaswa kuliangalia ili kuboresha kwa ufanisi mpango uliokusudiwa. FREE AND BETTER EDUCATION, na sio FREE AND BITTER EDUCATION.
Mwisho serikali inaweza kuamua, kati ya kuboresha ili ufanisi na ubora wa elimu inayotolewa mbele ya changamoto tajwa hapo juu au irejeshe mfumo wa kulipia kama zamani.
NAWASILISHA
Ongezea na bima zifutwe hospital zibomolewe

Kama huna mtu uwe unahustle
 
Wafute kabisa hiyo elimu bure ili tuimarishe uchumi,Tena waende mbele zaidi hata vituo vya afya vyote fykelea mbali na ndege wauze screpa Kisha wale walotolewa kwa Vyeti feki wawalipe fidia na kuwaridhisha kazini na waajiri ndugu zao na watoto wao.
Ndugu mnyonge na maskini mbona una hasira sana hebu kunywa maji kidogo
 
Acha ujinga, ikiingia vuta posho yako kwanza.


Nunua chaki za kutosha


Nunua panado za buku, sprit, bandeji na maji. Jumla usizidi laki.



Walimu wanunulie makaunta ya kuandalia.


Mitihani andika ubaoni, walipe walimu 10 kwa kila mtihani ili wasilalamike. Unatumia 100_000 na watoto wachane daftari zao.


Usiwakorofishe walimu wako wakaanza wao kukuchoma.


Ova
Kwa akili hii

Unaweza itwa mkuu bombaa usie na makuu

Usisahau kumtoa out D. E. O ili unoko wa wananzengo ue unaishia kwake
 
Back
Top Bottom