Uhamiaji sio jeshi ni IDARA,Polisi au afisa wa Magereza haruhusiwi kupiga saluti kwa afisa wa uhamiaji.
Tuna majeshi manne tu Tanzania nayo ni;POLISI,MAGEREZA,JWTZ na JKT,huruhisiwi kupiga salute kwa afisa wa UHAMIAJI kwa maana sio jeshi bali ni IDARA MeinKempf
Labda hizo nyimbo zimechuja huko nyumbani kwenu,ila huku kwetu bado zinakimbiza mbaya na ndio kwanza zinaanza kudownloadiwa na kupigwa sehemu mbalimbali.
Nilidhani ni picha tu kati ya Nagari Kombo na Wema,kumbe kuna something going on!!!!sitaki kuamini hili,Wema hawezi banah kua na Nagari sema Linah tu ana mawenge yake yule dada.
tena laiti wangewaona hawa watu jinsi wanavyopendana wangeona hata aibu kusema eti mimba sio ya diamond,yaani wao wala hawajui na wala diamond hana pressure kwa maana tayari ameshajua kama ni mtoto.wake alivyopima DNA mzurimie wape pole hao wanaosema mimba ni katunzi.
Tangu sharo milionea afariki basi huyu mzee amekosa kabisa management nzuri,nampenda sana mzee majuto na wala hastahili kufanyiwa hivi.
Duniani tunapita tu yanini kudhulumiana jamani?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.