Wakati Uchaguzi Mdogo katika Jimbo la Liwale na kata 37 ukiwa katika hatua ya kampeni, katika kipindi hiki msamiati wa mgombea kupita bila kupingwa umekuwa ukiibua sintofahamu kwa wadau wengi wa uchaguzi.
Hali hii imetokana na kukosekana kwa ufahamu wa kisheria juu ya maana ya kupita bila...
Wakati Uchaguzi Mdogo katika Jimbo la Liwale na kata 37 ukiwa katika hatua ya kampeni, msamiati wa mgombea kupita bila kupingwa umekuwa ukiibua sintofahamu kwa wadau wengi wa uchaguzi.
Hali hii imetokana na kukosekana kwa ufahamu wa kisheria juu ya maana ya kupita bila kupingwa, mambo...
Uteuzi wa wagombea ni moja ya hatua muhimu katika mchakato wa Uchaguzi na katika chaguzi ndogo zilizofanyika hivi karibuni na umekuwa ukiibua changamoto kwa baadhi ya vyama vya siasa.
Changamoto hizo zimejitokeza kuhusiana na sifa binafsi za mgombea, masharti ya uteuzi wa wagombea na ujazaji na...
Wadau habari za majukumu, nimesoma na kupitia taarifa iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu Jimbo la Liwale na Kata 37 nikagundua kuwa baadhi ya wagombea wa vyama vya Upinzani wameshindwa kurejesha fomu zao za uteuzi kutokana na sababu mbalimbali.
My take. Vyama vya Siasa...
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Athumani Kihamia amethibitisha kwamba mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Jimbo la Korogwe Vijijini amepita bila kupingwa.
Akizungumza...
Mimi kwa uelewa wangu Wakala wa Chama cha Siasa kwenye Uchaguzi ni mtu anayeteuliwa na chama chake na kuwasilisha jina lake Tume kwa ajili ya kusimamia maslahi ya chama chake na mgombea wake wakati wa kupiga Kura, kuhesabu Kura na Kujumlisha. Wakala anayeteuliwa kwa kazi hii anakula kiapo cha...
Mimi kwa uelewa wangu Wakala wa Chama cha Siasa kwenye Uchaguzi ni mtu anayeteuliwa na chama chake na kuwasilisha jina lake Tume kwa ajili ya kusimamia maslahi ya chama chake na mgombea wake wakati wa kupiga Kura, kuhesabu Kura na Kujumlisha. Wakala anayeteuliwa kwa kazi hii anakula kiapo cha...
Ndugu wanajamvi nikiwa mfuatiliaji wa mambo ya Siasa zetu za Tanzania huwa nashangazwa sana na kitendo/vitendo vya wanasiasa kutoa lugha za kuudhi hasa wakati wa Mikutano ya Siasa na Kampeni. Wengine hufikia hatua ya kutoa matusi ya nguoni kwa washindani wao na Pindi wanapochukuliwa hatua na...
Leo wakati naperuzi kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na video hii ya Jaji wa Rufaa Mhe. Semistocles Kaijage, Mwenyekiti wa NEC alipokuwa anatembelea vituo vya Kupigia Kura jimbo la Dimani Zanzibar pakiwa shwari kabisa, kilichonifanya nijiulize ni kelele za baadhi ya watu kuwa palikuwa na...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeeleza kuwa Kura 234 ziliharibika katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Dimani, Zanzibar Januari 22, 2017.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Ramadhan Kailima amesema kuwa Wapiga Kura walioandikishwa katika jimbo la Dimani...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeeleza kuwa Kura 234 ziliharibika katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Dimani, Zanzibar Januari 22, 2017.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Ramadhan Kailima amesema kuwa Wapiga Kura walioandikishwa katika jimbo la Dimani...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wagombea na Vyama vya Siasa vinavyoendelea na kampeni za Uchaguzi mdogo wa Ubunge na Madiwani kufanya kampeni za kistaarabu zinazozingatia maadili ya Uchaguzi ya mwaka 2015 na kwamba Chama au mgombea atakayekiuka maadili hayo atachukuliwa hatua.
Kauli...
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wagombea na Vyama vya Siasa vinavyoendelea na kampeni za Uchaguzi mdogo wa Ubunge na Madiwani kufanya kampeni za kistaarabu zinazozingatia maadili ya Uchaguzi ya mwaka 2015 na kwamba Chama au mgombea atakayekiuka maadili hayo atachukuliwa hatua.
Kauli...
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI imewataka Wasimamizi wa Uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata 20 za Tanzania Bara na Ubunge katika jimbo la Dimani Visiwani Zanzibar kuzingatia Sheria, Kanuni na Maadili ili Uchaguzi huo uwe Huru na wa Haki.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya...
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI imewataka Wasimamizi wa Uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata 20 za Tanzania Bara na Ubunge katika jimbo la Dimani Visiwani Zanzibar kuzingatia Sheria, Kanuni na Maadili ili Uchaguzi huo uwe Huru na wa Haki.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya...
WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO
BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA
TAARIFA KWA UMMA 12/07/2016
UTANGULIZI.
Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala lilianzishwa kisheria chini ya Sheria ya Tiba Asili na Tiba Mbadala Na. 23 ya Mwaka 2002- Sura 244. kwa...
Bila kupoteza muda Watz ni muda wa kufanya kazi masuala ya Siasa za vijiweni hayana nafasi katika kipindi hiki! Ukiona mtu anaendeleza malumbano ya kisiasa hajui analolifanya! Huu sio muda wa kupiga domo ni muda wa kufanya Kazi, cha ajabu utawakuta baadhi ya Vijana bado wanaota wakiwa wanatembea...
Sasa yupo Radio Uhuru anafafanua maana ya mabadiliko, anatoa mifano kupitia watu mbalimbali akisema hauwezi kuwa na kiongozi wa dini mtenda dhambi ukategemea atawafikisha waumini wake mbinguni, huwezi ukawa na mkulima mvivu ukatwgemea kuvuna mazao mazuri na mwengi, Polepole anamaanisha kuwa kuna...
Naomba kuuliza uanachama wa huyu anayejiita Mzee asiye na Dini wala chama, Mzee Kingunge Ngambare Mwiru. Nauliza hivi kwasababu nakumbuka kwenye mikutano mbalimbali aliyoifanya ukiwemo ule wa kumtafutia wadhamini Mhe. Lowassa kabla ya kuanza kwa kampeni Arusha huyu mzee alilipuka sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.