Waliosema Dimani kulikuwa na fujo Tazameni Video hii

Kinjekitile junior

JF-Expert Member
Apr 20, 2015
4,404
581
Leo wakati naperuzi kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na video hii ya Jaji wa Rufaa Mhe. Semistocles Kaijage, Mwenyekiti wa NEC alipokuwa anatembelea vituo vya Kupigia Kura jimbo la Dimani Zanzibar pakiwa shwari kabisa, kilichonifanya nijiulize ni kelele za baadhi ya watu kuwa palikuwa na vurugu , nimeona Mawakala wakiulizwa maswali na Mwenyekiti wa NEC na kujibu wenyewe kuwa hakuna tatizo, hivi hawa wanaopika taarifa za uongo Za kupotosha huwa wanawaza nini? kweli za kuambiwa inabidi unachanganya na zako
 
Jaji kaijage amekuwa lini M-kiti wa tume ya uchaguzi??? ninavyomfahamu mimi mi mwana ccm mtiifu sana na alishawai kugombea uenyekiti wa jumuiya ya wafanyakazi, juwata ilipokuwa sehemu ya CCM. Ni vigumu kwa mtu kama huyu kuwa impartial wakati anachezea timu moja kati ya washindani
 
Jaji kaijage amekuwa lini M-kiti wa tume ya uchaguzi??? ninavyomfahamu mimi mi mwana ccm mtiifu sana na alishawai kugombea uenyekiti wa jumuiya ya wafanyakazi, juwata ilipokuwa sehemu ya CCM. Ni vigumu kwa mtu kama huyu kuwa impartial wakati anachezea timu moja kati ya washindani

Hata mimi nataka data zaidi, umesema unamfahamu
Mhe. Kaijage afu unatuuliza amekua lini M/Kiti is it coming?
 
Jaji kaijage amekuwa lini M-kiti wa tume ya uchaguzi??? ninavyomfahamu mimi mi mwana ccm mtiifu sana na alishawai kugombea uenyekiti wa jumuiya ya wafanyakazi, juwata ilipokuwa sehemu ya CCM. Ni vigumu kwa mtu kama huyu kuwa impartial wakati anachezea timu moja kati ya washindani
Ishu hapa ni kwamba je umeona vurugu yeyote baada ya kuiangalia hyo video? Kama ni mwanachama mtiifu ama sio hilo hujaulizwa
 
Mkuu usiposema Uchaguzi haukuwa Huru na haki,au sheria ilikiukwa huwezi kuitwa mpinzani
 
Hata mimi nataka data zaidi, umesema unamfahamu
Mhe. Kaijage afu unatuuliza amekua lini M/Kiti is it coming?

unataka kujua data gani!!! nimeshasema kuwa Jaji Mwijage ni mwana ccm na sheria za uchaguzi kama sijakosea zinatakaza mtu anayejiusisha na chama cha siasa kuongoza Tume ya uchaguzi kwani huwezi kuwa impartial wkt wewe ni mpenzi wa chama na nikatoa connection yake na ccm. nilikuwa najua M kiti wa Tume ni Damian Lubuva kumbe ameshataafu na sasa ni jaji mwijage
 
Ishu hapa ni kwamba je umeona vurugu yeyote baada ya kuiangalia hyo video? Kama ni mwanachama mtiifu ama sio hilo hujaulizwa
ni issue kwani sheria za nchi zinakataza kuongoza Tume ya uchaguzi wkt wewe ni mwanachana wa chama cha siasa. Jaji Mwijage alitakiwa atleast ku disclose that piece of information otherwise he cannot be impartial in executing his duties
 
ni issue kwani sheria za nchi zinakataza kuongoza Tume ya uchaguzi wkt wewe ni mwanachana wa chama cha siasa. Jaji Mwijage alitakiwa atleast ku disclose that piece of information otherwise he cannot be impartial in executing his duties

Politiki Kwani wakati anaapa ulimsikia anatamka kukitumikia Chama chochote cha Siasa?
 
Politiki Kwani wakati anaapa ulimsikia anatamka kukitumikia Chama chochote cha Siasa?
hata Chenge na mkapa waliapa kulitumikia Taifa kwa uaminifu sote tunajua nini kilitokea mpaka chenge akajiuzulu na mkapa akajitwisha mgodi kwa kutumia address ya ikulu
 
Leo wakati naperuzi kwenye mitandao ya kijamii nimekutana na video hii ya Jaji wa Rufaa Mhe. Semistocles Kaijage, Mwenyekiti wa NEC alipokuwa anatembelea vituo vya Kupigia Kura jimbo la Dimani Zanzibar pakiwa shwari kabisa, kilichonifanya nijiulize ni kelele za baadhi ya watu kuwa palikuwa na vurugu , nimeona Mawakala wakiulizwa maswali na Mwenyekiti wa NEC na kujibu wenyewe kuwa hakuna tatizo, hivi hawa wanaopika taarifa za uongo Za kupotosha huwa wanawaza nini? kweli za kuambiwa inabidi unachanganya na zako

asee kaz kwelikweli kwa hyo hii video yako imetembelea vituo vingapi vya kupigia kura?? je imechukua coverage ya siku nzima?? hadi wakati wa kuhesabu kura mmeonyesha??? embu acheni siasa nyepesi bhana watu walipigwa virungu na taarifa za kichama zenye ushahidi zipo kwenye taarifa habari ya ITV ya siku ya uchaguzi taarifa hyo iliwekwa so how dare u unakuja na majibu mepesi?? umefika ofisi za ACT na CUF ukapewa taarifa rasmi ili ulinganishe na hii ya mwenyekiti wa NEC?? au siku hizi ofisi za CUF zanzibar zipo jamiiforums???

shame on you
 
asee kaz kwelikweli kwa hyo hii video yako imetembelea vituo vingapi vya kupigia kura?? je imechukua coverage ya siku nzima?? hadi wakati wa kuhesabu kura mmeonyesha??? embu acheni siasa nyepesi bhana watu walipigwa virungu na taarifa za kichama zenye ushahidi zipo kwenye taarifa habari ya ITV ya siku ya uchaguzi taarifa hyo iliwekwa so how dare u unakuja na majibu mepesi?? umefika ofisi za ACT na CUF ukapewa taarifa rasmi ili ulinganishe na hii ya mwenyekiti wa NEC?? au siku hizi ofisi za CUF zanzibar zipo jamiiforums???

shame on you

Bora hata hii video imeonyesha Mawakala wakikubali kwa vinywa vyao uchaguzi umeenda vizuri, kama vipi leta ya kwako ya Siku nzima utuonyeshe watu wakipigwa hivyo virungu! Shame on you
 
Back
Top Bottom