Alicho Maanisha Spika hichi hapa
Yaani kilicho sainiwa ni MOU.
MOU ni Memorandum of Understanding"
MOU ni hati isiyo ya kisheria inayotumiwa katika mazingira ya kibiashara, kidiplomasia, au kisiasa kuelezea uelewa wa pamoja na makubaliano kati ya pande mbili au zaidi.
Inaonyesha nia ya...
Na Mwandishi wetu Baraka Mussa (Mjumbe wa Halmashauri kuu CCM Wilaya ya kigoma mjini),
Kwanza nianze kuwasalimia Kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?
Pia ningeomba Vijana wa ACT wasome andiko hili vizuri ili itawasaidia kuachana na maandamano yao ya kipuuzi,Pia andiko hili...
Nimekuja kuomba ushauri kwenu nina mtaji wa milioni nne naweza kufanya biashara gani Dodoma.
Nina ujuzi wa computer na uzoefu katika kutengeneza computer hadi chip level, kutengeneza simu sinauzoefu ila nimeshapata mafunzo kidogo.
Kichwani kwangu nina mawazo matatu moja kufungua mgahawa...
Nenda posta utapewa utaratiibu. Ila vitu vichache ni majina yako, namba ya Nida na malipo Tsh 48000/. Pili fuata maelekezo ya mdau hapo juu, amekuambiwa unaweza kutumia sanduku la posta la jirani yako au taasisi iliyo jirani yako.
Samahani mkuu, Mimi nimejaza sehemu zote kasoro services program ila kila nikisubmit sipati ujumbe kama maombi yangu yamekwenda au la, isipokuwa yanapotea , nimerudia mara tatu hali ipo vile vile sipati uthibitisho wowote. Mitandao mingine ujumbe unakuja your application is succefull sent?
Mkuu jaribu kuangalia RAM, bios, powersupply na graphuc card( kwa upande wa hardware ) test hizo kama zinafanya kazi vizuri.
Halafu kwa software (bios setting) jaribu kufanya bootloader?
Run(kimbiza) command zifuatazo baada ya hapo kisha piga windows tena.
"bootrec /fixmbr
bootrec /fixboot...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.