Inategemea unaifanyia kazi gani, cha kwanza kabisa punguza mwanga ni kama simu tu ukiweka mwanga mkubwa usitegee kama itakaa na charge sawa na simu iliyowekwa mwanga mdogo
Kwaiyo wakikwambia oiii brother twende nawewe unawajibu BASI NENDA kama jina la ID yako hapo..
Dawa yao tembea kikakamavu, vaa sura ya kazi hutaona wanakusogelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.