sawa kabisa,kwakweli tangu nimeanza kazi two months sasa hali yangu kimwili imekuwa si nzuri,nachoka sana. Na hata nikifanya bas nachelewa sanaa kufika kileleni. Nashukuru mwenzangu anaelewa ila tu naona kama namkera japo yeye hajasema kitu. Thanks kwa mawazo yako.
Habari za kazi wandugu,
nipo tutani naomba msaada wenu ili niweze kumfurahisha mpenzi wangu. Lately nimekuwa sina hamu ya kufanya mapenzi kabisa hata nikifanya nakuwa natimiza wajibu tu ili mwenzangu asijisikie kua simjali coz ananipenda sana na ninampenda sana. Nifanyaje ili niweze pata hamu...
Well, poleni sana.
Salbutamol ni nzuri kama itabidi inabid aanze kutumia inhalers. Watoto wangu walianza kutumia inhalers walipokua na miezi tisa. Yao ni mbaya sana huwa wanabanwa mpaka wanawekwa kwenye nebulizer. Ni beta umcheki dr,kama upo dar naweza kukuelekeza dr mzuri sana.
Kitu kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.