Habari wadau, poleni na kazi.
Hivi mwalimu aliyesoma Mathematics na IT chuo anaweza kufundishia Computer science Kwa ngazi ya A-Level?
Nawasilisha mada.
Hili suala nimekua nikiliona kwa muda mrefu sana bila kufahamu maana yake au sababu hasa ni nini.
Unakuta mtu labda anakuja upande uliopo ghafla akikuona anajifanya yupo bize labda kuongea na mtu mwingine au kufanya kitu asichopanga kwa muda ule na kubadili uelekeo na kwenda njia nyingine Ili...
Habari wadau!
Nina laptop yangu aina ya Dell ambayo USB ports zote zimegoma kabisa kufanya kazi.. Na hiyo laptop natumia external keyboard na mouse sababu keyboard yake imekufa.
Sasa nikiwasha inaniambia press F1 to continue na hiyo key inapatikana kwenye keyboard nayo haiditect.
Msaada wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.