Hu Jintao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,356
- 2,355
Hili suala nimekua nikiliona kwa muda mrefu sana bila kufahamu maana yake au sababu hasa ni nini.
Unakuta mtu labda anakuja upande uliopo ghafla akikuona anajifanya yupo bize labda kuongea na mtu mwingine au kufanya kitu asichopanga kwa muda ule na kubadili uelekeo na kwenda njia nyingine Ili msikutane yaani kama ana kukwepa hivi bila sababu yoyote.
Kipindi hicho Hauna tatizo naye hata kidogo.
Hii kitaalamu imekaaje wadau.
Unakuta mtu labda anakuja upande uliopo ghafla akikuona anajifanya yupo bize labda kuongea na mtu mwingine au kufanya kitu asichopanga kwa muda ule na kubadili uelekeo na kwenda njia nyingine Ili msikutane yaani kama ana kukwepa hivi bila sababu yoyote.
Kipindi hicho Hauna tatizo naye hata kidogo.
Hii kitaalamu imekaaje wadau.