Habari wanajamvi..
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa watu waishio Zanzibar kuhusu muungano kuwa Tanzania bara ina inyonya Zanzibar.
Wakati ninavyojua mimi Zanzibar ndo wananufaika zaidi na muungano kuliko huku bara. Mfano Mtanganyika huwezi kununua ardhi visiwani ila Wazanzibar wengi wako bara...
Habari zenu wanajf.....samahan napenda kuuliza hivi kozi ya health information science inahusu nini yani mtu aliyesomea hii kozi anafanya kazi gani hospital,salary yake ikoje na vipi kuhusu upatikanaji wa ajira naomba msadaa tafadhali...
mh hii ya kununua followers insta mbna ipo sana tena siyo insta mpak twitter,fb ndo kabisa yani likes watu mpak 2k mtu wa kawaid ana pata ujanja wako tu..... kuhus viewers youtub wasanii wengi wamambele na bong wanafany hiz inshu kuna kipind ne-yo alishawahi kuchtumiw kuhus hii mishe na youtub...
hataki mapenzi ya kinafiki ndomana alikuwa mbali nasi
Wewe ulitaka aonekane ili ukijikwaa tu ukalalamike kwake kwann hakukuepusha na kujikwaa....na ukifiwa na mtoto mdogo ukalie kwake mbna kamchukua bado mdog.....hivi wewe unaihisi malalamiko yatakuwa mangapi? Waswahil husema uvumilivu hula...
me sitapiga kura kabisa kwasabab si ccm si ukawa wote wezi tu........kwasabab leo wanasema huyu fisad kesho wanamweka kama mgombea tena anagombea urais na huyu mwingne anajiita mtetez wa wanyonge lakn pesa zao za michango mpak leo hajawapa yani Tz ni sheedah tu
Wabongo kumbe bado watumwa.......aliyekwambia kujua English ndo ustarabu na usomi nani.......mbona wao hawaoni aibu kutojua kiswahili (ambayo ni lugha ya pili kutoka kiarabu Africa kuzungumzwa) tena wakiwa hapahapa Africa masharik....Embu tuacha kuwatukuza hao watu na lugha zao tujivunie vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.