Dear Wife popote ulipo chepuka unavyochepuka ila ukifikia sehemu ya kubeba mimba juandikie talaka mwenyewe mapema kabisa 🙌
Wanaume kubali na vumilia vyote katika ndoa ila sio Mkeo kuliwa na ukajua.
usirudi nyuma Kijana fukuzia mbali kabisa
duh !
na hapo ukisikia 25 ni idadi inatangaza serikali ili kupunguza tu taharuki ila uhalisia hapo ni majanga makubwa sana.
nadhani waliokua eneo la tukio ndio wanaujua ukweli.
ila yote kwa yote
إِنَّا لِلَّهِ وَإِنَّآ إِلَيْهِ رَٰجِعُونَ
kuna vitu vingine sayansi haifui dafu hata uchawi sayansi haiutambui kabisa na uchawi upo.
kwa hio watu wanaoamini katika sayansi peke yake wanapitwa na mengi sana
nyie sometimes mnatuonaga hamnazo eti ?
mngesema labda ugonjwa huu huambukizwa kwa njia ya hewa ningewalewa ila hizo sababu mnazotaja hazina mantiki kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.