Mkuu kuwa maarufu haikutenganishi na kuwa na tabia kama za watu wengine ,tabia zake kama binadamu wengine hazimfanyi kuwa mtu boraa kama ambavyo kila kada wamemzungumzia mkuu,Suala la kuolewa kwa Binti yake anaamua Mungu,so si swala lake ,naa mambo mengi aliyofanya kwenye jamii yanafunika...
Moja kubwa kuliko yotee ni kumtangulizaa Mungu sana
Pili Kufanya kazi kwa badiii na kujitoaa sanaa
na kutokutegemeaa usaidizi kutoka popeye mkuuu.
Tatu Tukifika mjini tukijua wewe ni mchaga na unafanya kazi kwa bidii tutakushika mkonooo
Nne Hatuna unafiki hata kidogo unisadie unisadie kwelii...
Habari za jioni ndugu wanajukwaa.
Naripoti kutokea huku Arusha. Naomba nikupe Taarifa ndugu Makonda sisi watu wa Arusha tuko Busy na utafutaji. Acha sifaa za kijingaa. Nimeona tangazo la makabidhianobya ofisi kati yako na Ndugu Mhe sana Mongela.
Swali wewe kukabidhiwa ofisi sisi linatuhusu...
Wanajamvi sina mda nakusalimuni Sanaa
Poleeni kwa Msiba mkubwa wa Nchi yetu.
Leo nimeona nite hojaa
Monekano wa Raisi mstaafu Kikwete kwenye msiba wa Hayati Mwinyi ni tofauti kabisa Leo kwa ufupi Ana furaha kuliko msiba wa hayati Lowasa alikuwa anaonekana mwenye huzuni Sanaa na furaha...
Hapana mkuu ,mimi ni Kibori Nangai namtafuta Adela ,na sina uhusiano wowote na yeye ,ninachojua ni mtumishi wa wasafi media basii
Najua Adela ni greater Thinker na ni mwaandishi wa habari soo jamiiforums hawezi kukosa
Nakushukuru Sanaa
Nitamvumilia inside alivyo Adelaa
Najua unamapugufu kama binadamu wotee ,nami yangu ninayo lkn
Lengo langu ni moja tuu I LOVE ❤️ Adela in deep ♥️
Please come PM My heart is awaiting you 💓 ❤️ 💗 ♥️ 💖 💛 💓 ❤️ 💗 ♥️ 💖 💛 💓 ❤️
Hujapunguza hata kituu
Kwa kweli Korogwe kama wewe ni mtu wa mishe Dar arusha Moshi tanga mini pale umefika
Nakuonyaaa kama wewe ni mwanamme achana kabisa na wake za watuu utalogwaa ufe ndani ya sekunde moja
Na kama ni wakike the same.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.