Hawa wadudu wana akili kweli.
I think sumu ya wadudu iitwayo fiprofam (haina harufu ila ni sumu) ikipigwa sehemu husika (kingo za kuta, kitanda, shelves watateketea tu). Care should be taken kuepusha madhara kwa binadamu.
Maeneo/ vyumba ya kuabudia yapo kwa kila college kwa mathehebu yote. Utaratibu uliopo uendelee hivyo hivyo. Kujenga makanisa/misikiti eneo la serikali si vema.
Yaani kwa kweli naipongeza serikali kwa hatua hii.
Kuna watu wachache walikuwa wanasifia hizi mambo kwa malengo tu waendelee kupata fedha za miradi toka kwa wahisani.
Tanzania bado hatuna weledi wa kudeal na GMO. Bado tech yetu ni ndogo. Tukijiingiza kichwa kichwa mbali na madhara...
Nilisikia konda wa basi akitoa matangazo kwa abiria wake kuwa wale wasiokuwa na ticketi waingie ndani ya basi wakatiwe, na Kila abiria achimbe dawa kabla basi halijaondoka as dereva akishaondoa gari hasimamishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.