Mimi natamani sana Viongozi wote nchini ambao Ofisi/Nyadhifa zao zinahusika na kuhudumia jamii wawe kama MAMA yangu Dorth Gwajima wawemke urahisi wa kuwasiliana na wanachi maana siyo rahisi kwa raia wa kawaida kumfikia
Ubarikiwe sana.!
Samahani natoka nje ya Mada
Mimi kinacho nifurahisha-ga jamii forum kila mtu anachumba cha Wageni na Muda wote kipo wazi akikorofishana tu na Mpenzi wake mmoja anahamia chumba cha Wageni.!
Mara nyingi Wanafunzi waliosoma Private huwa hawaripoti kwenye shule walizochaguliwa hivyo inafanya shule kongwe kuwa na wanafunzi wachache,hivyo kwa muktadha huo serikali imeona ni bora tuwapeleke wanaohitaji na watasoma huko.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.