Search results

  1. Socratic

    Yona atoswe baharini ili merikebu isizame

    Kumbe huu uzi ni wa tangia 2019! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Socratic

    Yona atoswe baharini ili merikebu isizame

    Kumbe huu uzi ni wa tangia 2019! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Socratic

    Kwa niliyoyaona Hospitali ya Amana, COVID-19 tutaishinda ndani ya muda mfupi, Wengi wanaoenda wanaumwa hofu

    Mi nilivyomwelewa mleta uzi ni kuwa ametumia "sarcasm" kufikisha ujumbe Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Socratic

    #COVID19 Teknolojia ya 5G na Chanzo cha Covid-19: Nadharia Njama (Conspiracy Theory) yenye maswali mengi

    Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Socratic

    Kimara, Dar: Polisi wawakamata kwa uzururaji Daktari chriscyrilo na Daktari Shindo Kilawa

    Ndugu kuna utaratibu wa kisheria wa namna polisi anavyotakiwa kufanya ili kumkamata mtu. Utaratibu huo usipofuatwa polisi wanageuka kuwa watekaji tu na wasiojulikana. Na mambo haya ya kukamatana kienyeji ni kawaida sana ambapo polisi wenyewe walibainisha ukamataji huo kuwa ni watu wasiojulikana...
  6. Socratic

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Mkuu. Nahitaji clutch plate ya Antara, Vauxhall. Bei gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Socratic

    Erick Kabendera aachiwa huru baada ya kukiri makosa na kufutiwa shtaka

    Utajua hujui. abdulhamis, Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Socratic

    Haya mambo huwa yananichanganya sana nikiyafikiria, mwenye majibu anipe

    Sasa unataka tuwaze drone wakati system za kuweka luku zenyewe zinatushinda Bongo kwa kuwa ni za kizamani! Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Socratic

    Leo jioni naleta hapa free app ya kuangalia TV mbalimbali, kaeni tayari

    Mkuu nashindwa kudownload hii app. Natakiwa kutumia app gani kudownload? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Socratic

    Leo jioni naleta hapa free app ya kuangalia TV mbalimbali, kaeni tayari

    Mkuu ikidownload hii app inanipa option ya kuopen as text image video others but haifunguki. Nakosea wapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Socratic

    Leo jioni naleta hapa free app ya kuangalia TV mbalimbali, kaeni tayari

    Hii app napakua kwa kutumia application gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Socratic

    Hii picha kila niitizamapo moyo hupata maumivu. Nini ilikuwa hatma ya huyu kijana?

    Pathetic Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Socratic

    European court of human rights: homosexual marriage is not a human right

    *Judgment of the Human Rights Court of Strasbourg -France* *Unanimously, the World Court of Human Rights has established, verbatim, that "there is no right to homosexual marriage." The 47 judges of the 47 countries of the Council of Europe, which are members of the full Court of Strasbourg (the...
  14. Socratic

    Malawi waandamana kumtoa Rais ikulu baada ya upotevu wa sawa na Tshs bil 4 za Tanzania

    “Mental slavery is the worst form of Slavery. It gives you the illusion of freedom, makes you trust, love and defend your oppressor while making an enemy of those who are trying to free you or open your eyes.” ~ Miss Fiyah
  15. Socratic

    Malawi waandamana kumtoa Rais ikulu baada ya upotevu wa sawa na Tshs bil 4 za Tanzania

    Sizungumzii maandamano. Nazungumzia utumwa wa fikra. Usinipeleke huko unakotaka wewe. Kwanza ujue watu kutoandamana haiondoi ukweli wa hali halisi wananchi wanayopitia. Haiondoi ukweli kuwa madaraka yanatumika vibaya, haindoi ukweli kuwa pesa zinapigwa, haiondoi ukweli kuwa kuna ubabe na uonevu...
  16. Socratic

    Malawi waandamana kumtoa Rais ikulu baada ya upotevu wa sawa na Tshs bil 4 za Tanzania

    Hoja ya msingi hapa sio kuandamana au kutoandamana. Hoja ni namna na haki ya raia kudemand uwajibikaji wa viongozi tuliowachagua. Tuliwachagua viongozi watuongoze sio watutawale. Pale wanapofanya kinyume na yale tuliyokubaliana lazima tuwawajibishe. Iwe kwa maandamano, iwe bungeni, iwe kumpeleka...
  17. Socratic

    Malawi waandamana kumtoa Rais ikulu baada ya upotevu wa sawa na Tshs bil 4 za Tanzania

    Great minds discuss ideas; averageminds discuss events; small minds discuss people. - Eleanor Roosevelt - BrainyQuote. Nadhani ushajua unafit wapi.
  18. Socratic

    Malawi waandamana kumtoa Rais ikulu baada ya upotevu wa sawa na Tshs bil 4 za Tanzania

    Amani ni kukubali kuishi kama kuku? Hiyo sio amani, ni ujinga.
Back
Top Bottom