Ndugu kuna utaratibu wa kisheria wa namna polisi anavyotakiwa kufanya ili kumkamata mtu. Utaratibu huo usipofuatwa polisi wanageuka kuwa watekaji tu na wasiojulikana. Na mambo haya ya kukamatana kienyeji ni kawaida sana ambapo polisi wenyewe walibainisha ukamataji huo kuwa ni watu wasiojulikana...
*Judgment of the Human Rights Court of Strasbourg -France*
*Unanimously, the World Court of Human Rights has established, verbatim, that "there is no right to homosexual marriage." The 47 judges of the 47 countries of the Council of Europe, which are members of the full Court of Strasbourg (the...
“Mental slavery is the worst form of Slavery. It gives you the illusion of freedom, makes you trust, love and defend your oppressor while making an enemy of those who are trying to free you or open your eyes.” ~ Miss Fiyah
Sizungumzii maandamano. Nazungumzia utumwa wa fikra. Usinipeleke huko unakotaka wewe. Kwanza ujue watu kutoandamana haiondoi ukweli wa hali halisi wananchi wanayopitia. Haiondoi ukweli kuwa madaraka yanatumika vibaya, haindoi ukweli kuwa pesa zinapigwa, haiondoi ukweli kuwa kuna ubabe na uonevu...
Hoja ya msingi hapa sio kuandamana au kutoandamana. Hoja ni namna na haki ya raia kudemand uwajibikaji wa viongozi tuliowachagua. Tuliwachagua viongozi watuongoze sio watutawale. Pale wanapofanya kinyume na yale tuliyokubaliana lazima tuwawajibishe. Iwe kwa maandamano, iwe bungeni, iwe kumpeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.