Kuna watu wapo nje ya mchezo ndio wachezeshaji. Wanawaangalia tuu. Mwisho wa siku utasikia tuu kuna watu Wamejaa kwenye mtego ambao umeshawekwa. Tuupe muda wakati kujiandaa kupokea majibu.
Naomba huu uzi uwe updated na kila safari yake atakayoifanya tuone yeye na Vasco wa msoga nani amesafiri kwa tija. Maana huyu kilabanapornda ni kukopa tuu
Wameshatoa ramani ya wapi utapata signal na wameruhusu pre-order, ni wewe mwenyewe kuangalia kama utaziweza gharama na kuagiza vifaa. Maana wanasema no technical knowledge required for installation
kuna mageuzi makubwa ya internet yanafanywa na bwana Musk soon internet itapatikana popote at fair speed check starlink internet project ambayo hata south imeanza kazi utaelewa. hata hapa bongo waweza nunua hiyo antena na ukapata internet kwa gharama nafuu tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.