Habari, waungwana!
Sijui kama kuna mtu humu alishawahi kutoa hili au lah!
Na kama tayari mnisaidie na mimi pia.
Imenitokea mara ya pili sasa, na nimechoka kutokana na gharama kuwa kubwa.
Hapa umwanja wa ndege wa JNIA terminal 2, kunautaratibu wa kulipia parking kiasi cha Tshs. 1000/- kwa...
Habari waungwana.
Ninaomba msaada katika kutatua hili tatizo.
Ninapenda sana kutumia browser ya operamini katika simu zangu zaidi hata ya browser ya simu yenyewe.
Lakini hivi karibuni nikijaribu kutumia operamini inakataa kabisa inachofanya ina-load tu halafu hata haifungui, tatizo hili...
Habari ya wakati huu waungwana!
Ninaweza saidiwa hili neno kwa kiswahili linaitwaje?
'BUSY'
'in swahili vocabullary'
Kwasababu watu wengi utawasikia wakisema, 'nipo busy bwana, au hata kwa mbwembwe anaindika 'bizzy'....
Napenda kuwasilisha.
Dah!
Hivi unakumbuka kipindi kile upo shule na mpenzi wako, mapenzi moto moto.
Ikifika likizo tu, na mapenzi nayo yanakwenda likizo mpaka mtakapo fungua tena shule...!!!?
Hi!
Nachukua shahada ya uhandisi yaani 'Electronics & Communication Engineering',
nakaribia kujiandaaa kufanya project kwa ajili ya kumaliza, kichwani kwangu nahisi sina mwongozo wa kutosha, labda ni kwasababu sijapata 'exposoure' ya kutosha.
Tafadhari kama kuna yeyote anawazo, site za...
Watoto walikuwa wakicheza, muda wa kurudi nyumbani ukafika.
Mmoja akaanza kulia, Mtumishi wa Mungu akamuuliza, 'Unalia nini?'.
'Nimepoteza yeboyebo zangu', dogo akajibu.
Mtumishi akamwambia, 'Nyamaza mwachie Mungu'.
Dogo akamwambia, 'Hazimtoshi ni ndogo'.:pound:
Kuna jamaa watatu marafiki sana, mpaka kiasi wakawekeana nadhiri kuwa kila mmoja wao akifanya jambo awakumbuke wenzake,
umri ukaenda kija mmoja akafanya kazi yake,
mmoja wao akawa akienda bar anakunywa bia 3, bartender siku 1 akamuliza sababu, na kujibiwa kuwa ni ahadi yao.
Kuanzia juzi akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.