Pole sana kwa majibu ambayo naamini bado hayajakuridhisha. Ushauri wangu ni kuwa omba likizo au off ya muda mfupi nenda kwenye hizo training angalia maslahi ndo utoe maamuzi kabla hujaandika barua ya kuresign. unaweza kufika kule ukakuta salary haieleweki itakuwa ngumu sana kwako na kurudi...
Dear Omuntunamuntu
As per all the concerns you have raised most of them are realities but you have exagerrated some especially issue ya majirani. Nyumba imezungukwa na watu kote. Actually it has been so long na mtu alishahamia since December last year, but I am still thanking you atleast after...
Jamani mmeona taarifa ya ITV jinsi UVCCM walivoongea live kuhusu Rostam Aziz kuondoka haraka sana hapa nchini? Mwalionaje hilo ni unafiki au wanamaanisha? Au ndo JF imewachallenge to that extent?
Kwa taarifa ni kuwa hiyo mia tano yenyewe haichukui yote. Shillingi mia tu ndo yake na mia nne inaenda kanisani. Watu wanaenda kwa sababu ni kweli wanapona. Hiyo huwezi kuifananisha hata siku moja na ishu kama ya DECI coz yeye hakushawishi uende ni matatizo yako ndo yatakayokupeleka na hakuna...
Anasahau kuwa hata hiyo Biblia hairuhusu kuchakachua madaraka, wala kuwapiga wananchi. Wananchi walikuwa wanaandamana bila kukusudia kumdhuru mtu, polisi wakaingilia kati Makamba alitegemea nini katika hilo? Pia kama mkutano wa hadhara uliruhusiwa walitegemea watu wafikeje uwanjani bila kuwa...
Guys inatisha!! tunakoelekea ni kubaya nina wasiwasi na wafuasi wa CHADEMA kuingia msituni na kuwa rebels. Really I am now scared!! MUNGU aturehemu. Mliona ule mkusanyiko wa watu jana uwanjani wakiwa wanamsikiliza PHD???? Dr. Wilbroad SLaa? Jamani wote wale wakiwa against CCM duh!!!! MUNGU...
Jamani kuna nyumba inayopangishwa Kiseke Mwanza, ni nyumba ya PPF, ila imeongezwa zaidi, imepigwa plasta na rangi nzuri, ina vyumba vitatu masterbedroom na vingine viwili, ina gate na fence, ina garden, ina maji na umeme. Gharama yake ni sh. millioni 3 kwa mwaka
Jamani kuna nyumba ya kupanga inapatikana maeneo ya Kiseke PPF Mwanza, ina vyumba vitatu, self contained, ina master bedroom, na vyumba vingine viwili, ina maji na umeme, ina fensi na gate sh. 250,000/= kwa mwezi.
Ndiyo mi ni mwaminifu!! kwani kama dunia inaongozwa na shetani baba wa uharibifu ndo kila mtu awe mtumwea wake? hilo nalipinga na waaminfu wapo japo waweza kuwa wachache compared to wasio waaminifu!!
Hi!! Guys!!
Kindly advise on the salary that the prject officer is supposed to get. Mwenye Postgraduate Diploma in Public Health, Degree in Social Sciences na more than 5 years experience ya projects. Akienda kwenye interview akiulizwa mshahara wa kiasi gani asemeje???
Kindly advise!!
Ama kweli hisia za ngono zikipanda watu hujisahau sana!! Kwahiyo hata mkeo ni wako ukiwa nae tu??? Kaka Kiiza hebu jiweke kenye position ya huyo mume wa mdada unayemmaindi mwache mwenzio ale vyake kihalali peke yake na si kumchachua mwenzio duh!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.