Ilikuwa inasemekana limejengwa chini ya kiwango. Hata lile la pale bunge sasa kuna tawi la benki nalo lilikuwa kama hilo na lilishaendelezwa.
Hata hilo inasemekana limenunuliwa na wizara fulani na linatengenezwa
Yeye alijua kinachoweza tokea ndomaana akaweza set record na simu akaiacha. Mo ilikiwa ni kustukiza, hata angevaa asingerekodi, achilia mbali wangemvua na kuizima kama si kuiharibu
Tatizo ninaloliona mimi ni pale mtaa mmoja unapokuwa na misikiti mitano na wote wanashindana kuadhini.
Wangekuwa walau wanachagua msikiti mmoja tu ndo uadhini na waamin wanaenda nyumba za ibada.
Pia kuna waadhini wastaarabu bana, sauti ya taratibu na haina bugdha, tatizo ni wale wanaotoa...
Blogging ni kuweka ujuzi na taarifa wazi kwa watu. Hata hicho unachosema umegundua kingepaswa kuwa post(s), sasa kama huwezi andika kitu kaa hicho ambacho wewe umekisoma kutoka kwa mtu aliyekiweka wazi napata shaka kuamini wewe ni blogger. Huko huwa unaandika nini? Au posts za uchoyo? No...
Miaka mitano ijayo dogo atakuwa na 30. SIJUI UNANIELEWA?
Pale barca lazima awe nyuma ya messi na umri unaenda, ukizingatia hujui kesho yako. Pale hawezi kuwa mfale mbele ya king leo SIJUI UNANIELEWA?
Kwenye mpira wa sasa ni kupata muda wa kucheza, kupata vikombe na mkwanja, angalia madogo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.