Search results

  1. mbari

    Bandari ya Dar es Salaam yajivunia kuvuka lengo

    Matokeo ya uwekezaji. Mmeupiga mwingi
  2. mbari

    Mshahara wa 2,116,000 kwa Kikokotoo kipya atalipwa shilingi ngapi akistaafu?

    Mshahara huu ni mwl aliyekaa kazini miaka zaidi ya 20yrs! Kuna kijana anaanza Kaz analipwa 2.8m serkalini.. poleni walimu
  3. mbari

    Kuna haja gani ya msingi kwenda kuchukua cheti Cha kuzaliwa viambatishi ulivyokwisha tumia online application ya RITA

    Naomba nilete hoja ambayo mimi binafsi skuielewa tija yake. Juzi kati nilifanya application ya vyeti vya watoto wangu Rita online wakaomba attachment ili niweze kupata vyeti nikafata utaratibu wao nkaweza kupata approval atimaye nkapata issued! Tatizo likaanza nlipoenda kuchukua vyeti vya...
  4. mbari

    Mbinu halali ya kupunguza makato kwenye miamala ya simu

    Mkuu hiyo tsh 1 Wakala atakusaidia kulipa? Au vepe
  5. mbari

    Kati ya Maulidi Kitenge na Masoud Kipanya nani zaidi kwenye yafuatayo...

    me ninavyojua kuwa Kitenge ni agent wa CIA Tz.
  6. mbari

    Unapohama kutoka taasisi moja ya serikali kwenda nyingine unalipwa fedha?

    Me nadhani dunia ya Sasa haihitaji procedures ili ufanikiwe.. Nadhani tu-push kwa overlap procedures. Me pia npo kweny harakati za kuhamia sehem ingine... UTARATIBU NI MGUMU SANA COZ WACHAWI WAPO WENGI WASIO PENDA WEWE UTOKE! Tuendelee kutafuta tutapata
  7. mbari

    Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

    Hauna facts Wala hujafanya research ya thread y'ako... Ur so weak! Kwan nan alijua jpm atakuja kua president
  8. mbari

    Uchaguzi 2020 Waraka wangu kwa CHADEMA kuhusu kampeni

    Umetumia picha ya saa 4 asbh mkuu. Tafuta picha ya saa 11 jioni.
  9. mbari

    Ripoti kutoka Kijiweni kwako kuhusu Upepo wa Kisiasa na Uchaguzi 2020

    Mpaka Sana 4 kwa 0. Mechi haijaishaa n kipnd Cha pili
  10. mbari

    Nimepokea Txts za kutisha sana, Sina raha msaada wenu wa mawazo...

    Wake Za watu wamekuwa watamu jaman. Faida yao wana zero costs.... Wewe jamaa muoga sana.
  11. mbari

    Waziri Kamwele: Tumetuma wanasheria nguli nchini Afrika kusini kushughulikia suala la ndege iliyokamatwa na Mahakama

    Nyie lipeni tu.. ndege ni ya raisi ndo mana ipo chin ya ofis ya raisi sio ya watanzania... Sisi wawakilishi wetu bungeni hawakuidhinisha biashara ya ndege bila kuw Na bus plan..
  12. mbari

    Ana shahada na CPA mwaka wa 4 huu hana ajira

    Mkuu una uwakika kwamba amewahi kukataa?? Mkuu unajua kwamba ajira n inshu mtambuka kwa sasa?? Hata hizo nafasi za watendaji kata ni ngumu kuzipata kipndi hiki....
  13. mbari

    Utaratibu huu mzuri wa Rais Magufuli wa kukutana na makundi ya watanzania kama umewasahau wakulima wadogo

    Huu n usumbufu tu. Nchi hii hakuna ambaye hajui kuna sera mbovu ambazo sio rafiki kwa watu kufanya biashara... Kuita makundi ikulu me naona ni kutafuta popularity na politics credit.. Na publicity kwa watu.
  14. mbari

    Prof. Safari aicharukia NEC, aitaka itumie common senses suala la maDED kusimamia uchaguzi

    Swala lipo wazi kabisa hili... Kuna conflict of interest. Kuna evidence nying znaonesha kuwa maDED watavuruga uchaguz na kutoa majib kwa upendeleo... Hata mzee baba aliwaambia wakishindwa kupitisha ccm wakatafute kazi ingne
  15. mbari

    Tunapata reli ya SGR lakini cha moto tunakiona

    Maendeleo ya vitu sio maendeleo ya watu. Mzee baba atatushindisha njaa tutakufa muda si wetu...
  16. mbari

    Viwanda vya unga vyafungwa kufuatia ukosefu wa mahindi

    Mzee baba juzi aliahidi atawauzia Zimbabwe tan laki7 za mahindi... Huu ugonjwa wa njaa unaambukiza... Tujiandae na ss
  17. mbari

    Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

    mimi uwa najikuta nshamtongoza bila kujua na kashaingia geto bila kujua.. Na tushakuwa wapenz bila kujua... Siku hizi raha sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  18. mbari

    Inawezekana hali ni ngumu kweli mbona watu wanalalamika sana

    Tatizo watanzania n wabishi.. Tukiwaambia nchi hii hatuwez mpa mtu ambaye ajaandaliwa hata percent moja kuwa raisi.. We have to bear the risk
Back
Top Bottom