Napitapita humu MITANDAONI naona marafiki zangu wote wanaishi MIJINI (ARUSHA, DAR, ,MWANZA na TANGA)
◆Hata wale waliopewa MIMBA sekondari wakaacha SHULE wakiwa Form 1C wanajinasibu kuwa ni MABIKIRA na wameandika WAMESOMA au WANASOMA University of Dar es salaam (UD) wengine najua kabisa wamesoma...
Kumezuka tabia baina ya wana ndoa au wapenzi kufanya kitu kianitwa SAPRIZI eti mtu anajifanya anamfanyia mwenzie matembezi ya kustukiza ili aonekane kuwa anampenda sana kumbe geresha tu, ikumbukwe kwamba lengo la kustukiza siyo upendo bali ni kutokuaminiana hebu jiulize.
Mahusiano gani wapenzi...
Kati ya sifa kubwa unayotakiwa kuwa nayo ili uweze kufanikiwa kimaisha ni uwezo wako wa kughairisha (suspend) mambo yanayokupa raha kwa muda mfupi ili kujenga mambo yatakayokupa furaha kwa muda mrefu.
Mwanzoni mwa 1960 Professor Walter Michael wa chuo kikuu cha Stanford alifanya jaribio fulani...
Msichana akitaka PERUVIAN HAIR mpya wala hahangaiki sana anaingia kwenye PHONEBOOK yake anachagua Madanga yake 20 anayoyaamini kwamba hayawezikumuangusha anaCOMPOSE meseji tamu ambayo kila danga likipokea linahisi hiyo ni meseji yake peke yake.
"Babe Mambo, nimekumiss leo hadi nimekuota yaani I...
Upendo wako kazi bure kwa kiumbe kinachoitwa mwanamke Acha kulialia tupa kule Kwanza tayari ashakuwa Used spea. Shituka tupa kule... Pia nijulishe kabila yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.