Mimi ni HRO II niko Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Tanga ninatafuta mtu wa kubadilishana nae katia mojawapo ya mikoa ifuatayo Iringa, Dodoma, Morogoro na mwanza namba zangu za simu ni 0712203180,0769890903 na 0686200597 hii na mara tu mhe. Rais John Magufuli akiruhusu taasisi husika Tamisemi...
Mimi ni Afisa Utumimishi II niko katika Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Tanga Natafuta mtu wa kubadilishana nae katika mojawapo ya Mikoa ya Iringa, Morogoro na Dodoma mawasiliano yangu ni 0712203180, 0769890903,AU 0686200597
du inasikitisha kuona hvo kwan kuna uwezekano kabsa watu wachache washakaa na kuamua hatima ya wananch kwa hal hii tujiulze ni wananch au magamba wanaweza kuleta machafuko mhuu!???????? hatar hii
naomba kuuliza hasa kwa wale wenye uelewa wa kuuza duka la dawa ni kiasi gan kwa duka la standard kama unataka kufungua pia unapitia mchakato gani mpaka kupata kibali naomben msaada wa mawazo
Wanajukwaa mimi ninampango wa kufungua biashara tatwa hapo juu lakn cjui nianzie wap. na je ni kias gan unaweza kuanza nacho pia unawezaje kupata hzo line kwa gharama ipi tafadhal naomben mawazo yenu wadau
nawasilisha
nashukuru mdau nami nawaombea sana mpate kaz kuna mtu aliniambia niandke barua ya kuacha kaz then niende mahakaman tume ya utumishi eti hakuna tatizo ndiyo maana nikaandka nipate msaada ahsanten sana nany mtapata jaman kuweni na subira
wadau nilipata kaz kupitia sekretariat ya ajira nikapangwa halmashaur nipo mzigon tayar pia nimepata tume ya utumish wa mahakama zote ni post ya Hr. sijui upande wa mahakama pakoje. ahsanten wadau ikumbukwe niljkaa kitaa miaka 3 MUNGU akifungua njia hazuiliki wadau msikate tamaa ahsanten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.