Search results

  1. M

    Rais Magufuli, unaua Uchumi wa nchi makusudi au ni sabotage?

    mhuuu! nalinda ugali wangu
  2. M

    Uhamisho wa kubadilishana kituo cha kazi

    Mimi ni HRO II niko Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Tanga ninatafuta mtu wa kubadilishana nae katia mojawapo ya mikoa ifuatayo Iringa, Dodoma, Morogoro na mwanza namba zangu za simu ni 0712203180,0769890903 na 0686200597 hii na mara tu mhe. Rais John Magufuli akiruhusu taasisi husika Tamisemi...
  3. M

    Nafasi ya uhamisho

    KIONGOZI HII NI KWA BAADAE NAANDAA MAZINGIRA IWAPO WATARUHUSU HILO NALIJUA
  4. M

    Nafasi ya uhamisho

    Mimi ni Afisa Utumimishi II niko katika Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Tanga Natafuta mtu wa kubadilishana nae katika mojawapo ya Mikoa ya Iringa, Morogoro na Dodoma mawasiliano yangu ni 0712203180, 0769890903,AU 0686200597
  5. M

    Kamanda Ngwatta arejea ulingoni

    naomba utaje majina ya ngwata yote kama ni jamaa tulisoma naye
  6. M

    Bulembo: Hatutawaruhusu upinzani kwenda Ikulu

    du inasikitisha kuona hvo kwan kuna uwezekano kabsa watu wachache washakaa na kuamua hatima ya wananch kwa hal hii tujiulze ni wananch au magamba wanaweza kuleta machafuko mhuu!???????? hatar hii
  7. M

    Nahitaji kununua Line M-pesa, Airtel money, na Tigo pesa

    Wadau, Nahitaji kununua Line tajwa hapo juu. Naomba aliye nazo ataje na gharama niko Tanga.
  8. M

    Msaada wa mawazo: Nataka kununua Toyo kwa ajili ya mizigo, je italipa?

    Nina wazo la kununua Toyo kwa ajili ya kuchukulia mizigo. Je, kinalipa hasa kwa maeneo yenye masoko. Asanteni wadau
  9. M

    Ujasiri ndio utajiri wako

    nimeipenda ni kweli mkuu hata kulala ni risk
  10. M

    Ninahitaji kuwa wakala wa Benki, nifanyeje?

    ninahtaji niwe wakala wa benk ya nbc lushoto je taratibu za kuwa wakara na sifa ni zipi naomba ufafanuz kwa anayefahamu
  11. M

    Msaada kuhusu duka la dawa baridi

    tafadhal wadau naomba kujua ni gharama kiasi gani kama ukitaka kufungua duka la kawaida la dawa baridi ahsante
  12. M

    Gharama za kufungua duka la dawa

    naomba kuuliza hasa kwa wale wenye uelewa wa kuuza duka la dawa ni kiasi gan kwa duka la standard kama unataka kufungua pia unapitia mchakato gani mpaka kupata kibali naomben msaada wa mawazo
  13. M

    Ni kipi cha kuzingatia katika biashara?

    Naomba kupata ufafanuzi mzuri wadau, sijawahi kufanya biashara. Napenda kuuliza, ni mambo yapi ya kuzingatia na kuchukua ukianzisha biashara yoyote?
  14. M

    Msaada: Nataka kufungua M-pesa, Airtel money na Tigopesa

    nipo tanga lushoto nashukuru kabla cjanunua ningependa kwanza hzo detail nilzoulza mdau
  15. M

    Msaada: Nataka kufungua M-pesa, Airtel money na Tigopesa

    Wanajukwaa mimi ninampango wa kufungua biashara tatwa hapo juu lakn cjui nianzie wap. na je ni kias gan unaweza kuanza nacho pia unawezaje kupata hzo line kwa gharama ipi tafadhal naomben mawazo yenu wadau nawasilisha
  16. M

    Msaada jaman wapi niende?

    nashukuru mdau nami nawaombea sana mpate kaz kuna mtu aliniambia niandke barua ya kuacha kaz then niende mahakaman tume ya utumishi eti hakuna tatizo ndiyo maana nikaandka nipate msaada ahsanten sana nany mtapata jaman kuweni na subira
  17. M

    Msaada jaman wapi niende?

    wadau nilipata kaz kupitia sekretariat ya ajira nikapangwa halmashaur nipo mzigon tayar pia nimepata tume ya utumish wa mahakama zote ni post ya Hr. sijui upande wa mahakama pakoje. ahsanten wadau ikumbukwe niljkaa kitaa miaka 3 MUNGU akifungua njia hazuiliki wadau msikate tamaa ahsanten
  18. M

    Utaratibu wa ajira NIDA

    wanapeana tu hao jamaa ni kama kampun binafsi kama huna mtu pale hesabu maumivu
Back
Top Bottom