Kwa misimu mitatu mfululizo RONALDO anaingiza kwa kupachika magoli la liga na msimu huu utakuwa wa 4.
Hebu tuache ushabiki wa kijinga tuongee ukweli na tuangalie takwimu sio unaongea tu. CR7 juzi tu kapiga bao 5 mechi moja au umesahau?
Kama unapenda mabishano sawa lakini rekodi ya ufungaji...
Hivi CCM wanawalipa shilingi ngapi mpaka mnajitoa ufahamu hivi. JINGA kabisa wewe ina maana huoni mambo yote mabaya waliyotufanyia hawa mabwege? Halafu unakuja hapa kutuaminisha eti CCM iendelee tu.
Watu kama nyie ni bora mfe tu maana hamna faida yoyote.
Nahisi ana matatizo ya akili huyo.
Jaribu kutafuta wazee na wenye hekima waongee naye ujue ni kwa nini anafanya hivyo na kwa nini anakuchukia na kukutamkia maneno yote hayo.
Hatua ya mwisho wachukue watoto wako kwa nguvu ili ajue ya kwamba wewe ni mwanaume na huna masihara katika hilo.
Naona mmeamka asubuhi na kuleta propaganda mpya.
Mwaka huu CCM imekula kwenu. HATUWACHAGUI hata mumchafue LOWASA kiasi gani.
Tunawachukia na hatutaki hata kuwaona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.