Kuondoa kesi Mahakamani ni kosa na kupoteza muda maana watarudi huko Mahakamani ili zoezi zima la kuhamisha umiliki wa mali uweze kufanyika.
Huwezi kupewa chochote benki bila kufata taratibu za Mahakama nk
Mfahamu kuwa vitu vikubwa viwili vinawafanya watumishi wa uma kuvumilia
1. Kusubiria pensheni yao ambayo walikua wanaona ni kubwa na itawafaa.
2. Security ya ajira. Serikali haifukuzi fukuzi hovyo kama Private sector.
Hapa kwenye kuikata hiyo pensheni kwa kiwango hicho wenye guts za kukimbia...
Sisi kwa kweli tumepumzika sana sana sana na ni watu wa kuridhika. Mtu akiteuliwa anasubiri hela yake mwishobwa mwezi baaaasi. Wenzetu wanahangaika kuingiza bidhaa za chakula kwenye nchi za wenzetu viwango vinazingatiwa sana. Sisi ilitupasa watu wawe na target ya nchi tunayotaka kufanya nayo...
Kurogwa mbona kitu cha kawaida tuu na hizo ndio taratibu na tamaduni zetu za kiafrika. Mi nirogwe tuu ila nisiwe zuzu au nisifanywe nishindwe kutafuta hela. Kuna vitu ni vitamu jamani acheni viroge tuu.
Ndege aina ya Falcony wanafundishika na wanaweza kutoka sehemu A-B na kurudi kwa anaemmiliki sasa kipi kinashindikana kuwatumia kama jeshi la kipelelezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisemwalo lipo na kama halipo basi linakuja. Zipo tuhuma mbali mbali kwa Israel, Rusia na Iran kutumia ndege katika uspy, lakini kwa kuwa wenzetu hufanya mambo yao kwa siri kubwa inawezekana sisi ndio tushangaao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani mleta uzi hukupaswa kufurahia/ kuonyesha ushabiki kwa uchache wa watu waliojitokeza kwenye Balozi zetu huko nje unapaswa kukaa na kujiuliza Tanzania kumewahi kuwa na mentality ya namna hii hata kwa mtu mmoja? Kuna mtanzania hata mmoja hapo nyuma alikua anauthubutu wa kwenda kwenye Balozi...
Ila ukumbuke tuu kuwa pale kuna Red Line Zone ambayo U.S wala RUSIA hawezi fanya mashambulizi bila kumtaarifu mwenzake ili kujaribu kuondoa athari kwenye mali za jeshi la mwenzake. Ila fatilia pia mahojiano ya Al Jazeera na Sergey Lavrov waliyorusha leo-ameongelea suala hilo pia la kupewa...
Kaangalie post Na.27 kuna link inayoonyesha uwepo wa mawasiliano kabla ya kufanyika kwa shambulizi husika na uwepo huo wa mawasiliano ndio kulikoifanya UK kukubali kujiunga kwenye shambulizi husika.
www.telegraph.co.uk/news/2018/04/12/us-russia-hotline-syrian-air-strikes-could-help-avoid-conflict/amp/
Kajisomee hapo mkuu utaona prior communication na identification of targets ndio utaamini kuwa mawasiliano yalikuwepo kabla ya shambulizi
U.S.A bado yeye mwenyewe ni kunguru tuu ushabiki ulikua mkubwa sana walivyoshambulia Syria kuja kufatilia undani wa habari kumbe kabla ya kufanya shambulizi lenyewe walimpigia simu RUSIA baada ya RUSIA kutoa ridhaa ndio wakatekeleza shambulio. Achana na hiyo waangalizi wa kemikali wameenda RUSIA...
Kuna vitu wala sio vya kushangilia nani mbabe kuliko mwingine. North Korea ameshaona kuwa taalumu ya kutengeneza anayo na amejihakikishia kuwa uwezo wa kusafiri hadi umbali fulani, sasa hivi anachohitaji ni uchumi imara ili azalishe kwa wingi hayo madude yake. Ilitakiwa wamwambie bomoa kabisa...
Kipekee kabisa namuombea Putin awe na moyo wa Subiraa yeye pekee ndie anaeweza kutuvusha hapa kwa maamuzi yake ya kuonekana mjinga ili isizuke WWIII. Putin kuwa mjinga tuu baba/uwe pia mzembe na mpumbavu usiekua na maamuzi.
Ndio maana uzinduzi kaenda kuufanyia Kenya[emoji3] [emoji3] [emoji3] muda si mrefu mtaanza kulia lia pale wakenya watakapoanza kusema Diamond ni msanii kutoka Kenya.
BASATA mfungieni huyo Mkenya[emoji2] [emoji2] [emoji2]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.