Huwa ni miezi mitatu mkuu,kwa gari ndogo unalipia 25usd na gari kubwa unalipia 107usd kwa miezi mitatu,ikitokea dharura unaweza kuongeza siku,pia ukitaka kuisajili unakwenda nayo TRA,nadhani umenielewa
mkuu vumilia utakuja tu kuelewa mchezo!Ukishakomaa ndio utakuja kugundua kumbe faini ya Laki unapunguza tu sifuri moja na mambo yanaenda!,Dereva atawekwa ndani tu kama amegonga ameuwa mtu au amesimamishwa akusimama na wazee wakamfukuzia wakamkamata
Umeshatoa hitimisho kuwa ni biashara kichaa! Sasa unahitaji ushauri wa nini? Nipo kwenye biashara ya Dalalada long time ago na sifikiri hata siku moja nitakuja kuacha!kama vp tufanye biashara hiyo hiace uliyonayo uendelee kufundisha.
kwanza ukiingia Japan watz wakikuona wanaambizana kabisa kuna ng'ombe wa maziwa ameingia!kwahiyo watafanya juu chini wakutapeli vijisenti vyako!na ukishastuka wanakwambia tu ukweli ukirudi Tz tutafutie ngo'mbe tukiwakamua na ww utapata chako!Inawezekana mtoa mada anatafuta ng'ombe wa...
mara nyingi inatakiwa uache gari nakuifuita lesseni yako!kuendesha gari bila lesseni kwa Tanzania inaweza kuwa ni kosa la kawaida ila kwa nchi kama mozambique ni kosa la Jinai!Jela miezi sita na faini 1ml
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.