Mie napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa NMB KAHAMA Business centre kwa huduma bora nilizozipata pale walinipa msaada mkubwa sana @ Pendo and her team 👊🤝👍🏽
Habari wapendwa, natarajia kuja Kahama kesho na mimi ni mgeni kabisa sijawahi kufika Kahama hii ndo itakuwa mara yangu ya kwanza.
Naomba kufahamishwa maeneo mazuri pa kulala na bei rafiki pia maeneo kwenye vivutio vya Kahama ili netembee pia,
Pamoja na Club au Night club ilio changamka...
Cha kushangazaa Sisi watanzania hatuwezi kusaidiana hata kwa jambo la bure tu lazima mtu upinge tu. Hivi uki subscribe tu inakugarimu nini wakati ni bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.