Habari zenu wanaJF
Je hii mitandao ya simu inahuduma za kufungia baadhi ya number kupiga au kutuma ujumbe mfupi,kutuma salio,kutuma fedha kwenda number fulani isifanyike
Mfano number ikipiga isiipate number fulani
Number ikiituma message isimfikie mtu
Salio likitumwa lisifike
Tafadhali nipigie...
Hivi ni kweli kwamba kila mwanamke anaeolewa yule ambaye anamuoa wanakuwa hawajakutana kimwili katika kipindi cha mahusiano kwa karne hii?
Na kama ni kweli kwanini kuna msemo watu wengi wanadai mwanaume anaekuoa kama aliwahi kukutana kimwili na wewe katika kipindi cha mahusiano na akakuoa...
Msaada jamani nikiaaply nacte bachellor nikiweka number registration inakataa inadai kuwa reg.no/examination number/graduation year is not in our system nimeenda jana nacte hakuna umeme nimerud leo anaehudumia matatizo ya namna hiyo hayupo sasa je tatizo linaweza kuwa nini jamani
Habari zenu humu ndani naombeni kuuliza nikiingia kwenye website ya TCU nikitaka kuuapply for degree inadai the system is closed and will be opened on 31st July 2016.
Sasa cha kushangaza mpaka Jana bado system haijafunguliwa. Nahitaji kujua kuna watu wanaoona hivo maana TCU hawapokei simu...
mimi nimemaliza diploma sasas nataka nikasome mount meru university bachellor of public administration sasa je na leo ndio deadline nashindwa kuelewa je wataongeza muda maana sijarudishiwa transaction Id mpaka sasa hivi na mpesa
Habari zenu wana JF,
Mi kuna kitu nahitaji kujiunga bachelor this year ila muda nimeingia nimekuta deadline ni leo.
Je kuna uwezekano ukafanya application direct katika chuo unachotaka kuapply au mpaka nacte wenyewe wakuchague au wataextend muda maana tangu nimetuma hela mpesa mpaka sasa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.